Unamhonga pesa mzigo hakupi, halafu kuna boya mmoja anamtafuna bure

Jinsi ya kuitumia MODE ONE soma hiki

Hawa viumbe ndio maana wanatafunwa bure na wahuni sababu wahuni wanaijua siri ya game.

Binafsi nimefanya utafiti na majaribio kabla ya kushare nanyi hiki kitabu

Mshindwe wenyewe
Mpaka sasa watu 7 washakidownload
 
Hii ilikuwaga zamani ila hawa wasasa wapenda hela mta-share tu na jamaa ambae hampi hela ila hawez kukunyima kabisa kama unampa hela
Hauju kitu mkuu, mimetogoza demu tangu mwezi wa Kwanza tarehe 4 mpaka leo hii sijaambulia kitu na nimesha toboka vitu vingi sana but me sikuwa na lengo la mbususu nilikuwa nalengo la kumuweka ndani kabisa kama wife but imeshindikana, ni juzi tu nikaja gundua kuwa anayepewa mbususu ni jamaa furani hivi ambaye anamademu kibao na anawapanga asikwambie mtu.
Wanawake hawaeleweki wanataka nini msela wangu
 
Kwa muujibu wa kitabu hiyo ni aina flani yabwanaeake wanaopenda kuumiza wanaume huyo hata kama akikupa papuchi ipo siku atakuomba hela ya nauli na atakuambia kapamda boda yupo njiani then siku inaisha kimyaa
Yan Yuko hvyo hvyo huyu dada afu eti anachukia chukia hovyo mimi naisi anaelekea kunishinda

Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu nakushauri usome hiki kitabu kitakusaidia sana
 
Sahihi [emoji817]%
 
Wavivu wakusoma vitabu utawajua tu ata humu wapo๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ