Hahaaa... hiyo ni tabia ya mademu karibu wote wazuri hua wana viburi balaa. Mi kuna mmoja alizingua nikamkatia mawasiliano nikajua atajirudi, huu unakatika mwezi wa pili sasa kapiga kimya na mimi kimya..!Mkuu anakiburi balaa huyu manzi
Hapo moyo unauma kichiz unasubiri akucheki, iyo mindset itakutesa Kuna kitu unatakiwa ufanye uyo dem amesha move onHahaaa... hiyo ni tabia ya mademu karibu wote wazuri hua wana viburi balaa. Mi kuna mmoja alizingua nikamkatia mawasiliano nikajua atajirudi, huu unakatika mwezi wa pili sasa kapiga kimya na mimi kimya..!
ππππππ€£π€£π€£π€£π€£π€£Demu nimemuwekea vikwazo vya kiuchumi Jana kanitumia Bonge la message eti Mimi nampendea K yake dah!!
Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
Huwajui wanawake badooo...!! Endelea kujifunzaaaDemu ukiwa unampa hela hawezi kukunyima papuchi
Huenda hivo tuDah au uyo muhuni anatumia dawa,Yani muoaji anakukataa afu anaenda kwa mpigaji labda Mungu anakuepusha na balaa shukuru tu
Kua kwanza utawajua tuu wanawake vizuri, we badoo sanaa kwa wanawakeDemu ukiwa unampa hela hawezi kukunyima papuchi
Kuna watu wanajuaga ukitoa mkwanja umemaliza kila kitu kumbe sioKua kwanza utawajua tuu wanawake vizuri, we badoo sanaa kwa wanawake
Unampa hela anakuja kukunyima papuchi nakukwambia sina hisia na weweKua kwanza utawajua tuu wanawake vizuri, we badoo sanaa kwa wanawake