Unamkumbuka Crush wako wa utotoni? That was real and only unconditional love you will ever experience

Itakuwa ni INFATUATION kwasababu true unconditional love never dies or vanishes!
 
aisee sorry to ask lakini i know its personal
Ukiolewa na mtu aliyekuzidi nusu ya umri unaenjoy kweli?? hata stori/utani unakuwepo kweli?? mbona kama wadada mnaishi na baba zenu indirect way

Au tension ipo kwenye good life?
 

Ni swala la muda tu!

Fanya basi leo nicheki pirates [emoji6]
 
Kelvin alikuja na begi jipya na saa ya mkononi. Crush wangu akahama dawati, akaenda kukaa na Kelvin. Ilikua darasa la pili.

That was my first experience with a heart break and a gold-digger!
 
Sara, Bunge Primary 1998... Nakumbuka jina tu. Sara popote ulipo nakuombea maisha mema.
 
Kelvin alikuja na begi jipya na saa ya mkononi. Crush wangu akahama dawati, akaenda kukaa na Kelvin. Ilikua darasa la pili.

That was my first experience with a heart break and a gold-digger!

[emoji16]hadi jina la mdau unakumbuka?
 
Duh,we mwanaume mwenzetu kweli?? Hongera mkuuu,i'la hizo hisia wnaume hatukuumbwa nazo,[emoji16]

Sent from my CPH1909 using JamiiForums mobile app
 
Dogo unacrush unachat naye messenger?? Inaonesha we bado hujamalizana na crushes wako,bado una wengine kwa foleni,subiri ifike walau 20 years ndo uje uhadithie majukumu yakishakupiga

Sent from my CPH1909 using JamiiForums mobile app
 
Matilda jamani Matilda,dah,sijawah kuwa na strong feelings Kama zile,amenitesa kuanzia form two Hadi form 4!ilikuwa hata nikimuona mapigo ya Moyo yanazima kwa muda,nashindwa kuongea chochote,tulikuwa tunishia kutazamana tu,alikuwa anakaa kiti Cha mbele darasani kila dakika anageuka nyuma tunagongana macho,tunashindwa kutamkiana,deep moyoni naumia,Sasa hivi ameolewa na mm nimeoa,Sina mawasiliano naye,ila bado nampenda, namuombea mema always!!

Sent from my CPH1909 using JamiiForums mobile app
 
Okay kwanza nianze Primary 1999-2005 nilikua napendwa na mdada mmoja wa kuitwa Lucy,na mm pia nlikua nampenda ila sijui ilikua inakuaje nikimuambia nampenda yeye anakataa,ikafka mda yeye akaanza kunambia ananipenda na mm nakataa,

Kufika la Saba mwanzoni akatokea crush mwingine alikua dada wa mshkaji wangu alikua anasoma St.Anthony Mbagala alikua form two mm la saba,Damn nlimpenda yule mdada alikua msafi ananukia mda wote,nikirudi nyumbani najisemea kesho namuambia kuwa nampenda,nikimuona kesho mdomo unakua mzito,Huyu binti ilikua nikimuona moyo wangu unakua na amani sana!yani nilimpenda kweli.

O level nilimpenda binti mmoja white hivi[emoji24], nilianza kumuona stand,Nilikua nakaa Mbagala nikipita na gari Mtongani namuona ilikua form one 2006 na tulikua tunasoma shule moja,ila ile shule walikua wanatutenganisha kijinsia,(wanaume na wanawake wanasoma madarasa tofauti)
Kufika form three Mungu sio Athumani wala Mzee Mbonde tukapangwa darasa moja Damn!hisia zikazidi kuongezeka na ubaya zaidi nilikua ndo kichwa wa darasa[emoji4].Yule binti ilikua ikifka jumamosi nalaani kwa nn wikiendi haiishi ili nmuone!
Hatimaye nlimfungukia kuwa nampenda ila alinikataa kata kata kata mpaka tunamaliza o levo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…