Unampigia simu kwa namba ngeni halafu hapokei baadaye anakwambia hapokeagi namba ngeni

Kama ilivyo last option kwako kutuma msg
Basi na Kwa wengine kupokea simu ni last option.

Kwahiyo usitake kutulazimisha tupokee mkuu.
 
Kama ilivyo last option kwako kutuma msg
Basi na Kwa wengine kupokea simu ni last option.

Kwahiyo usitake kutulazimisha tupokee mkuu.
Hujalazimishwa....Mbona mihemko mkuu...au jamaa kapiga hajakulipa?
 
Ila si unaacha meseji, ukijitambulisha? Akikujua atakutafuta.
 
Ila si unaacha meseji, ukijitambulisha? Akikujua atakutafuta.
Jaribu kufikiria, mfano ni simi ya dharura ambayo inabidi majibu yapataikane haraka.

Mimi naamini hata wewe ukiwa na haraka sana na mtu huwa hutumi msg. Option ya kwanza ni kupiga direct
 
Bongo kuna watu wapuuzi sana, wengine hua matapeli, wengine huwa malaya, Ila wengine huwa wajinga tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…