Unamsaidiaje mtu anaetaka kujiua?

Mtoa Uzi hebu eleza kwanza kwanini utake kumsaidia mtu anaetaka kujiua. Kwani kakuomba msaada wako? Vitu zingine ni kiherehere chako tu. Mind your own business
 
Mtoa Uzi hebu eleza kwanza kwanini utake kumsaidia mtu anaetaka kujiua. Kwani kakuomba msaada wako? Vitu zingine ni kiherehere chako tu. Mind your own business
Kama kila mtu atasema mind your own business, wengi wataendelea kuumia bila msaada. Kukubaliana na uovu wa kuona wenzako wanaumia huku unaweza kusaidia kwa namna moja ama nyingine sio sawa. Hio dhambi itakutafuna.
 
Maskini wajiue tu tubaki matajiri.. tena nataka niuze vitanzi kwa bei chee sana
 

Kama ni kuhusu ndoa na ana watoto Ziaidi ya mmoja, mwache tu ajiue, inaweza Kuwa nafuu kwake
 
Sahihi, mzee alikuwa sahihi na aliokoa maisha ya huyo mwanamke, tena ukikuta mtu anataka kumeza dawa nyingi afe mwambie hizo chache nenda akaongezee zingine ufe haraka. Utakuwa umemwokoa, roho ya mauti haina masihara kabisa, usipojua namna ya kumsaidia mhanga anaondoka duniani.
 

Kapigwa Pepo la kujiua huyo...Na kwenye familia wakishaanza kujiua basi wataendelea kujiua tu mwanzo mwisho mpaka pepo liwatoke.
 
mpeleke kwenye hifadhi ya ngorongoro akawe kitoweo cha simba. asife kizembe bila kufaidisha jamii
 
Maskini wajiue tu tubaki matajiri.. tena nataka niuze vitanzi kwa bei chee sana
kama ndugu yako, mwanao au mtu wa karibu ungeona anaonesha dalili za kutaka kujiua ungekubali iwe hivyo usingefanya chochote?
 
Dogo Ana Wivu Na On To The Next One Ya Maisha Ya Wengine Anataka Kujifanya Mwokovu,,Atajitwika Misalaba Ya Wengine Imshinde Ulimwengu Na Walimwengu Wamsulubu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…