Unamtafsiri vipi mwanamke mwenye tabia hii?

awali ya yote, huyo manzi hakujali kabisaa wewe na shida zako kwa sasa. Yuko very focused na malengo yake na sio kwamba hakupendi 🐒

Lakini pili, hakuamini kabisaa wewe, uwezo wako na ahadi zako. Huenda hamjazoeana vya kutosha. Sio kwamba hakuamini kimapenzi, la hashaa kwenye pesa tu 🐒

Tatu, hana muda na wewe wala kujua shida na matatizo yako kama yameisha, ispokua akili, mawazo, malengo na moyo wake uko kwenye pesa na mali zake. Yuko bize kutafuta pesa, hana muda na Mapenzi kwa sasa. Mvumilie ule maisha ndani ya penzi 🐒

nne na mwisho kwa uchache kwa leo, huyo manzi ni mbinafsi ambae hayuko tayari kua kwenye mauhusiano siriazi ya kimapenzi kwa sasa, ispokua biashara au mahusiano ambayo ndani yake pawepo pesa za kutosha. Anajitafuta kwanza 🐒

Subra yavuta kheri na mvumilivu hula mbivu.
Ile jambo muhimu kabisa, ni kua mstahimilivu na mwenye subra.
Usifanye uamuzi wa haraka.
 
Kausha damu ya kisomali, ukafie mbele ulinivuna sana😂😂
 
Mh hakuna kukopeshana bora umpe tu au umnyime
 
Mbona "kana kwamba" Nyingi sana Mkuu😅 hiyo ela utatoa kweli?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…