Lethergo
JF-Expert Member
- Aug 7, 2023
- 6,534
- 11,421
Karibu mpaka sebleni usivue viatu ingia navyo mpaka ndaniata nakujua sasa unakosemea uko[emoji1]mie mgeni,,kwanza hodiii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Karibu mpaka sebleni usivue viatu ingia navyo mpaka ndaniata nakujua sasa unakosemea uko[emoji1]mie mgeni,,kwanza hodiii
Asante sanaKaribu mpaka sebleni usivue viatu ingia navyo mpaka ndani
Watoto wameshalala lakiniAsante sana
ndioWatoto wameshalala lakini
Wakiamka waambie Ankali àlikua anawasabahindio
zimefika kabisaWakiamka waambie Ankali àlikua anawasabahi
😂😂😂😂 wafanye mambo mengine.Ni mapenzi tu kila siku.
Hamkinai wala kuchoka
Lipa pesa ya watu mkuuKwenye mapenzi mbali na ngono kuna mambo ya kusaidina matatizo madogo madogo na hata makubwa kama yapo ndani ya uwezo wenu.
Mfano mwanaume umemuambia mwanamke wako akuazime let's say Tshs 20,000 na ukamuahidi kwamba utamrejeshea baada ya siku tano lakini baada siku moja kabla ya kufika siku ya ahadi unamuambia bila hata yeye kukuuliza kwamba hela unayotegemea kumlipa bado hujaipokea ila unamuhaidi kwamba haitovuka siku tatu nitakua nimekupatia tena zaidi hata ya uliyonipa.
Lakini kesho yake kabla hata siku uliyomuahidi kumrejeshea haijapita anaanza kuulizia tena kwa fujo yani kana kwamba wewe hujawahi kumsaidia pesa yoyote tena bila hata ya kuhitaji kurejeshewa
Je, ni kosa kumlipa hela yake na kuvunja uhusiano kimyakimya?
NB: Lengo sio kumdhulumu hela yake ila naongelea reaction yake katika kukudai kana kwamba anahisi unataka kumdhulumu hela ndogo kama hiyo
Nini maoni yako au mtazamo wako kwa mtu kama huyo ambae umeshamsaidia pesa nyingi tena mara nyingi bila hata ya kumkopesha?
Hahazimefika kabisa
🤣🤣Wanadada legezeni basi kidogoile siku kanikopa nilmwambia atalipa tu kwa namna yoyote
Alafu mambo yapo mengi mnoooooo😂😂😂😂 wafanye mambo mengine.
hela ngum mama [emoji26][emoji1787][emoji1787]Wanadada legezeni basi kidogo
Sawa kabisahela ngum mama [emoji26]
Akope halafu kudaiwa atishe kuacha heeeee kwanza kuachwa na mtu anaekopa elf 20 hata haishtui bana.....Hahahaha daah, kwamba aache kutisha watu
Shangazi?Sawa shangazi