Acha udomo zege sisyππ.π€£π€£π€£π€£Kweli mkataa pema pabaya panamuita...kwa hiyo Mimi kukuonyesha mgodi unaotembea umeniona mwehu?Shauri yako Extrovert shem Kama shem najua kwako hakishindikani kitu mtunze mdogo wangu
Carleen dada naomba ile nyimbo ya nandy eeeWewe pm njoo tu,kupendana tutapendana juu kwa juu.
Mambo mengine niachie Mimi mwanaume niweke sawa.
πKikubwa ni kwamba aliyetangulia katangulia tu na hakuna awali mbovu... Hapana shaka kwamba kwenye wakubwa wawili halishindikani jambo. Acha huyo dogo aendelee kucheza na walamba lips akikua atakuwa amejifunza jambo.π€£π€£π€£π€£Kweli mkataa pema pabaya panamuita...kwa hiyo Mimi kukuonyesha mgodi unaotembea umeniona mwehu?Shauri yako Extrovert shem Kama shem najua kwako hakishindikani kitu mtunze mdogo wangu
Shem to be,
Naona hauko tayari ila hakijaaribika kitu, naamini dada yako atakuwa chaguo bora zaidi.Mkuu ina maana hujastukia tu kuwa da Joannah yeye ndo anakutaka ila ananitumia mim kama kivuliππ.
Nikwambie kitu shem,ukimpata dada yangu umepata mke mwema.
Hana kasoro mi shida tupuππ
πππDaaahh ningekuja PM mwenywe tatizo umejielezea sana kabla ya tongozo
Umeniogopesha aiseeee siji tena
Carleen dada ndoa ilikua tuwe nayo mwaka huu ila nimeahirishaπ
ππππShem to be,
Ongea naye vyema najitahidi kumpambania yeye na mwenzie Depal watoke nyumbani, Leo yenyewe nilikuwa Love Connect huko nawatafutia Connection na wanachagua sana imagine..!!
Tunafanyaje Sasa?ππππ
Imetosha imetoshaaaaaa
Ndio matatizo ya kutokuwa msikivu kule unyagoni ulimsumbua Sana kungwi wewe!mgodi sio pesa,mgodi umebeba Mambo mengi,busara,utu,utulivu,wema na kapochi kamejaaπ€£π€£π€£π€£π€£Sasa Kama hutaki mtu wa namna hiyo Ukienda kuuzishwa maandazi huko sitaki kilioAcha udomo zege sisyππ.
Mi najua huyu ni shem wangu kwako.π
Halafu akiwa mgodi unaotembea ndo tubabaike kwan sisi wadangaji?ππ
Andaa sare wa mwanangu mapema kabisa mwakaniπππ
mdogo wangu unataka uwe kishangazi kidogo ndiyo tuanze kukesha kwa MwamP..??
Unaniita kaka uninyime nini?πHuko huko
Wewe ongea nae vizuri
Kaka angu huyo toka nitoke
Shem nakukubali Sana wewe ni mzungu 'kweri kweri'.Shem to be,
Ongea naye vyema najitahidi kumpambania yeye na mwenzie Depal watoke nyumbani, Leo yenyewe nilikuwa Love Connect huko nawatafutia Connection na wanachagua sana imagine..!!
πππππππ
Hapa nimejizatiti dada iwe jua iwe mvua
Mwakani mtoto awahi shule
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£Shenzy kabisaπKikubwa ni kwamba aliyetangulia katangulia tu na hakuna awali mbovu... Hapana shaka kwamba kwenye wakubwa wawili halishindikani jambo. Acha huyo dogo aendelee kucheza na walamba lips akikua atakuwa amejifunza jambo.
Nipatie ushirikiano wako binti kisura, hakika utakula mema ya nchi. Wacha nikutunikie kile ambacho unastahili.