Unamtaka nani humu, muwe naye kwenye mahusiano?

Unamtaka nani humu, muwe naye kwenye mahusiano?

🤣🤣🤣🤣Kweli mkataa pema pabaya panamuita...kwa hiyo Mimi kukuonyesha mgodi unaotembea umeniona mwehu?Shauri yako Extrovert shem Kama shem najua kwako hakishindikani kitu mtunze mdogo wangu
Acha udomo zege sisy😂😂.
Mi najua huyu ni shem wangu kwako.😂

Halafu akiwa mgodi unaotembea ndo tubabaike kwan sisi wadangaji?😂😂
 
Urudi kuoa kijijini mkuu hawa wa mjini watakutafuta ukitoboa...na huo utakuwa wakati wako wa kuwaringia...chukua hili toka kwangu, tukiwa hatuna kitu tuliteseka sana, kidogo ukiishika pesa...ndio unasikia bro G nakupendaga sana😂😂😂
Kwa jibu hili kweli nimeamini kijiji bila wazee ni kelele na fujo.

Glenn ,kweli sijatoboa.
 
🤣🤣🤣🤣Kweli mkataa pema pabaya panamuita...kwa hiyo Mimi kukuonyesha mgodi unaotembea umeniona mwehu?Shauri yako Extrovert shem Kama shem najua kwako hakishindikani kitu mtunze mdogo wangu
😀Kikubwa ni kwamba aliyetangulia katangulia tu na hakuna awali mbovu... Hapana shaka kwamba kwenye wakubwa wawili halishindikani jambo. Acha huyo dogo aendelee kucheza na walamba lips akikua atakuwa amejifunza jambo.

Nipatie ushirikiano wako binti kisura, hakika utakula mema ya nchi. Wacha nikutunikie kile ambacho unastahili.
 
Mrembo Darlin ,

Unakumbuka nilikuambia nakupenda sana,hata dada yako Carleen analijua Hili,Sina haja ya kurudia kila saa.

Tatizo ni moja tu,Sina hela😃,Ila Nina mabro wangu humu Manyanza na Glenn watafanya Jambo. Siku nikizipata milele utafurahi!!
Shem to be,
Ongea naye vyema najitahidi kumpambania yeye na mwenzie Depal watoke nyumbani, Leo yenyewe nilikuwa Love Connect huko nawatafutia Connection na wanachagua sana imagine..!!
 
Mkuu ina maana hujastukia tu kuwa da Joannah yeye ndo anakutaka ila ananitumia mim kama kivuli😂😂.

Nikwambie kitu shem,ukimpata dada yangu umepata mke mwema.
Hana kasoro mi shida tupu😂😂
Naona hauko tayari ila hakijaaribika kitu, naamini dada yako atakuwa chaguo bora zaidi.
 
Acha udomo zege sisy😂😂.
Mi najua huyu ni shem wangu kwako.😂

Halafu akiwa mgodi unaotembea ndo tubabaike kwan sisi wadangaji?😂😂
Ndio matatizo ya kutokuwa msikivu kule unyagoni ulimsumbua Sana kungwi wewe!mgodi sio pesa,mgodi umebeba Mambo mengi,busara,utu,utulivu,wema na kapochi kamejaa🤣🤣🤣🤣🤣Sasa Kama hutaki mtu wa namna hiyo Ukienda kuuzishwa maandazi huko sitaki kilio
 
Shem to be,
Ongea naye vyema najitahidi kumpambania yeye na mwenzie Depal watoke nyumbani, Leo yenyewe nilikuwa Love Connect huko nawatafutia Connection na wanachagua sana imagine..!!
Shem nakukubali Sana wewe ni mzungu 'kweri kweri'.

Nakuahidi sitamtesa mdogo wako siku akiwa wangu.
 
😀Kikubwa ni kwamba aliyetangulia katangulia tu na hakuna awali mbovu... Hapana shaka kwamba kwenye wakubwa wawili halishindikani jambo. Acha huyo dogo aendelee kucheza na walamba lips akikua atakuwa amejifunza jambo.

Nipatie ushirikiano wako binti kisura, hakika utakula mema ya nchi. Wacha nikutunikie kile ambacho unastahili.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Shenzy kabisa
 
Back
Top Bottom