Mwee kumbe huwa mnafagilia wanaume weupe, sasa zile habari za tall dark guys huwa zinatoka wapi, mara mwanaume akiwa mweupe hapendezi anakuwa kama Pisi [emoji2][emoji2]View attachment 2601791
Vipi upo kama huyu? Unandevu kama huna usinisumbue PM [emoji2][emoji2][emoji2]
Ya kweli haya? Au mnachangamsha vijiwe
Huyo ni mweupe??Mwee kumbe huwa mnafagilia wanaume weupe, sasa zile habari za tall dark guys huwa zinatoka wapi, mara mwanaume akiwa mweupe hapendezi anakuwa kama Pisi [emoji2][emoji2]
That dude is light skinned He aint dark [emoji16][emoji16]Huyo ni mweupe??
NopeThat dude is light skinned He aint dark [emoji16][emoji16]
Ninakuandalia uzi wako kabisa na wenye mistari i ya kutosha. Naziba pancha bodaboda yangu hapa imepata pancha matairi yote. Uzi wenye mistari kama ya 50 cents na Warren G kwenye ile hit song ya 21 questions. ππππππ tenaa kazi ni kazi tu
Sehemu nzuri za kupiga picha ni kule Mufindi kwenye yale mashamba ya Brooke Bond Tea Estates πMe nataka tuanzie Kilimanjaro Airport, ndio tupige hizo ruti nyingine.
Hiyo ni sehemu ya kihistoria ujue, pa muhimu sana
Nipeleke basi nikauone huo uzuri wakeSehemu nzuri za kupiga picha ni kule Mufindi kwenye yale mashamba ya Brooke Bond Tea Estates π
Sawa nasubiriaNinakuandalia uzi wako kabisa na wenye mistari i ya kutosha. Naziba pancha bodaboda yangu hapa imepata pancha matairi yote. Uzi wenye mistari kama ya 50 cents na Warren G kwenye ile hit song ya 21 questions. πππ
Nitaku PM picha yangu ya mwaka 2009. Siku moja tutafika pale usiwaze. πNipeleke basi nikauone huo uzuri wake
Mkuu nakusalimu. πUdhaifu wa kiwango cha PhD huu bifu la nini wewe pambania jimbo ulimiliki πππ
Salama Kijana? πMkuu nakusalimu. π
NaisubiriaNitaku PM picha yangu ya mwaka 2009. Siku moja tutafika pale usiwaze. π
Tuko hapa tunaenjoy weekendOi Mko pamoja nini? Satoh Hirosh na Lenie πππ
Maana hizi reactions zinavyofuatana kama Kumbikumbi
Mdogo umemuonea huruma??? ππππTuko hapa tunaenjoy weekend
Will send it to you later nahisi ipo kwenye PC home.Naisubiria
Huruma ya niniMdogo umemuonea huruma??? ππππ