Unamtaka nani humu, muwe naye kwenye mahusiano?

Unamtaka nani humu, muwe naye kwenye mahusiano?

That dude is light skinned He aint dark [emoji16][emoji16]
Nope
.hio ni dusky complexion,

light skin or fairness skin mfano mchek #Zari

Afu huyu mjamaa unaeza enda kule ttiktok #NikMutuma ukajiridhishe
 
😂😂😂 tenaa kazi ni kazi tu
Ninakuandalia uzi wako kabisa na wenye mistari i ya kutosha. Naziba pancha bodaboda yangu hapa imepata pancha matairi yote. Uzi wenye mistari kama ya 50 cents na Warren G kwenye ile hit song ya 21 questions. 😂😂😂
 
Me nataka tuanzie Kilimanjaro Airport, ndio tupige hizo ruti nyingine.

Hiyo ni sehemu ya kihistoria ujue, pa muhimu sana
Sehemu nzuri za kupiga picha ni kule Mufindi kwenye yale mashamba ya Brooke Bond Tea Estates 😅
 
Ninakuandalia uzi wako kabisa na wenye mistari i ya kutosha. Naziba pancha bodaboda yangu hapa imepata pancha matairi yote. Uzi wenye mistari kama ya 50 cents na Warren G kwenye ile hit song ya 21 questions. 😂😂😂
Sawa nasubiria
 
Back
Top Bottom