Muda tu..nikionaga ID yako napata goosebumpsTokea lini🫣🫣🫣 mbona umechelewa sana kusema sasa hivi watoto wangekuwa wanaenda shule ??
Una uhakika kua Mimi ni mdogo wako?Bado hujapenda mdogo wangu
Kuna mtu alibwaga tunguli zake kisa Toto la JF
😀😀 mkuu, hutaki ushindani kwenye jimbo, unataka kuwa mgombea pekee ili upite bila kupingwa, thank you Ugm bin champion 🥰financial services huyu mdada kama kuna mtu kamtaja basi naomba kwa amani tuu mtu huyo afuteee hili jina, maana huyu mdada ndie chaguo langu kwa humu JF....hili onyo La mwisho mumkome huyo dada wajamani nioneeni huruma namim nipate Baby kutoka JF nipate cha kusimulia[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Haha Nimeingia mzima mzima. Nipe maelekezo tu
Ili mradi ma pendo tuNoma kweli
Endelea kuwaza cha kumfanyiaIla wewe sijui nikufanyie nini,huna wivu huna chuki....umesimama kiume kweli
Hataki hata kunionaNdo tunasubiri tuopolewe daaah! Sijui tuna damu ya kunguni? Nikajua umemuopoa National Anthem 🤭😅
Bado, niopowe basi 😲😲We na nduguzo National Anthem & mzabzab mshaopolewa au bado???
😂😂 Kwani Antonnia na mwenzio Aaliyyah mna nini?Watruuu weeuweeeeeee!! 💃💃🤸🤸🤸🤸🤸🤸!
Piga kelelee kwa shem akeee weeh weeh weeeuuuwweeeeehhh!😘😘😘
Muuliz hana mdogo wake au rafiki kwanii 🤣🤣🤣 in Aaliyyah voice 😂☺️
Pamoja sana kaka 👊👊Dogo langu ninakukubali sanaa, utafika mbaki keep it up (kipirap)
Usinichonganisheee mkuuChagua mmoja kwa afya ya mwili na kiroho
Mkuu mimi ni mwanaume kamili na Nina moyo wa kiume kweli kweli . Huyo nana Cha kutisha kwani ??Aisee wewe una moyo wa kiume lakini ????
Eti Glenn huyu mwamba ataweza???
kitambo sanakumbe umewahiwa madam
Mtaje tumjue!Kama mjuavyo, kazi ya moyo si kusukuma damu tu. Kazi nyingine kubwa ya moyo ni kupenda, na kila mtu anapenda kupendwa.
Na humu ndani kuna watu wana hisia na mtu fulani (ID), ila wanashindwa kuongea.
Kwa kutumia uzi huu, funguka ili naye ajue. Inawezekana na yeye ana hisia na wewe ila anashindwa pa kuanzia, pia ni vizuri ukatoa na sababu zilizo kushawishi.
Wa kwangu anajulikana. Haya kazi kwenu, tiririka.
We faller una sit yako kwa LUCIFER na cheo kabisa🤣🤣🤣Usiache mbachao Kwa msala upitao.
Kuna watu walifia Ndani baada ya Nyumba zao kuungua moto Kwa sababu tu ya milango na mageti ya Nyumba zao.
Namtaka Ecstasy Queen