Unamtaka nani humu, muwe naye kwenye mahusiano?

bado ana pace ya kuongoza jimbo au pumzi imekata?? Maana Mimi na Mzee mwenzangu Glenn tumelitafakari sana hili jambo leo maana amekuwa adimu sana au ndio kawa Kaka wa Nyumbani???
Ndg yangu, watu aina ya Lenie ukimaliza kupanda mlima ukiwa umembeba sawa na mtu kalima eka moja peke yake hivyo kijana Satoh Hirosh anapumzika kutafuta nguvu mpyaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Ndg yangu, watu aina ya Lenie ukimaliza kupanda mlima ukiwa umembeba sawa na mtu kalima eka moja peke yake hivyo kijana Satoh Hirosh anapumzika kutafuta nguvu mpyaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
sasa mpaka kuja kupata nguvu si atamkuta Miss Lenie mbali sana??? Huyo Dogo tulimwambia asikomae na Pisi kali kama hizi uwezo mdogo akawa anakomaa sasa ngoja tuone
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…