Unamtaka nani humu, muwe naye kwenye mahusiano?

Unamtaka nani humu, muwe naye kwenye mahusiano?

financial services huyu mdada kama kuna mtu kamtaja basi naomba kwa amani tuu mtu huyo afuteee hili jina, maana huyu mdada ndie chaguo langu kwa humu JF....hili onyo La mwisho mumkome huyo dada wajamani nioneeni huruma namim nipate Baby kutoka JF nipate cha kusimulia[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
financial services huyu mdada kama kuna mtu kamtaja basi naomba kwa amani tuu mtu huyo afuteee hili jina, maana huyu mdada ndie chaguo langu kwa humu JF....hili onyo La mwisho mumkome huyo dada wajamani nioneeni huruma namim nipate Baby kutoka JF nipate cha kusimulia[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
kula mwenyewe
 
Shindwaaa pepo

Hivi unamchukuliaje Analyse lakini?
Kwamba aachie hii pisi kali kirahisi tu, kwanini yaani?

Huu ndio uchawi wenyewe sasa tunaoupinga me na baby wangu🥰
Hee washaanza kutupigia Dua mbaya? Dua la kuku halimpati mwewe.

Na mimba ya kwanza ikiingia, naomba uwe unakuja kutema mate humu JF, kwenye nyuzi atakazokuwa anachangia 😅😅
 
Hee washaanza kutupigia Dua mbaya? Dua la kuku halimpati mwewe.

Na mimba ya kwanza ikiingia, naomba uwe unakuja kutema mate humu JF, kwenye nyuzi atakazokuwa anachangia 😅😅
🤣🤣🤣

Na anavyopenda kuanzisha uzi kila baada ya dk 5, aah atajuta mbona.
Bora tu anitafutie kopo mapema nisije kumchafulia nyuzi zake
 
Back
Top Bottom