Leejay49
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 16,388
- 51,970
aya bhana 😅🙌enjoy Lee,leo nimeamua kijimaliza kama kwa mwamposa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
aya bhana 😅🙌enjoy Lee,leo nimeamua kijimaliza kama kwa mwamposa
Best ya konyoMuacheni best yangu
Enjoy mkuu maisha ni haya tu😂😂😅😅😅 Kaka kaka kaka
Yule Johnnie Walker mzee wa kuitemea mate mademu wanamjua michezo yake kila siku wanaumwa fungus 🤣🤣🤣Johnnie Walker hatochelewa kupita nae[emoji23]
Bora tu unipeleke kule visiwani, tuwaepuke hawa wapambe nuksi😅😅😅 Kaka kaka kaka
Ni kuziroga tu mkuu, zitifate zenyewe huko PMsio poa mazee pisi za Jf zinakaza
utazipateje zimefunga PM zaoNi kuziroga tu mkuu, zitifate zenyewe huko PM
Kwahiyo Mwamba Domo zito kama la Timbulo??? Mistari hakuna 😂😂😂Sasa si ndio unichane mistari
Naweza kuruhusiwa nikupende mrembo?🤣Sasa si ndio unichane mistari
😄😄😄😄 sijui zinaogopa nini… shangazi Shunie nakusalimia tuutazipateje zimefunga PM zao
Mgeni wetu anaendeleaje ngd yanguYule Johnnie Walker mzee wa kuitemea mate mademu wanamjua michezo yake kila siku wanaumwa fungus 🤣🤣🤣
Eeeh ndio maana tunadumisha Muungano na yoyote yule anaeupiga vita tunapambana nae 😂😂
So My Dr Lizzy Roses zako hizi hapa 🌹🌹
na kwa kutambua hizi hazitoshi nyingine hizi hapa chini.
Basi na sie tunaacha kupost tukose wote!!!!Shida me sio photogenic picha last time kupiga sijui ni mwaka Juzi😀
Mnisamehe tuu ila me napenda kuangalia za wenzangu😄
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Mamaeee utakua Makamo Mwenyekiti 🤣We faller una sit yako kwa LUCIFER na cheo kabisa🤣🤣🤣
Tena utakuwa u mzee kiongozi wa Lucifer katika kitengo maalum cha kuko..jzana😂😂😂
Angalia utaniharibia nasaka mwali ujue🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Mamaeee utakua Makamo Mwenyekiti 🤣
Labda uwa-adopt hawa nilionao 😄Bado tupo tupo mammy, kama vipi njoo kwangu Dr unizalie watoto wenye miakili
Angalau umekuja, sijatajwa hadi muda huu😂😂😂Nausomaji wangu comments huu Uzi umenishinda😂😂
zinaogopa vijana wa humu wanatongoza hovyo sana,sema mashangazi yana nafasi yao ya pekee Nifikishie salamu kwa lishangazi lolote mazee😄😄😄😄 sijui zinaogopa nini… shangazi Shunie nakusalimia tu