Unamtaka nani humu, muwe naye kwenye mahusiano?

Unamtaka nani humu, muwe naye kwenye mahusiano?

Shusha nichane nielewe somo
Dah hata nikishusha sijui uko wapi na uko na nani wakati Mimi hapa ni dereva bodaboda tu na uwezo wangu ni wa kukunulia chapati na maharage na kivazi Cha kijora.๐Ÿ˜ช๐Ÿ˜ช๐Ÿ˜ช
 
Siku hizi hakuna mahaba, mahaba
Mapenzi ya mkataba, mpaka kufa yamekwisha
Ni neema ukiwa unahema
Mapenzi yanachosha yanafuja raha
Nafsi yangu inasema
Bora nimpende tu alonizaa

Uchungu wa kulia daily
Mapenzi yalinifanya nisile
Na sina kumbukumbu ile
Ya kwamba ulinikosha no

Mwenzako mi nilikufa
Nikazikwa, nikaoza
Mapenzi yalinitesa
Yalinitupa, nimefufuka ee
 
Na kuna mashangazi, hilo tabasamu ndo taswira yao asilia bila makeups wala nywele iliyochomwa/iliyounguzwa....

Sema wanakuwa na nyama nyama za kupigisha kale kakelele ka rinda za ndani (pichu na bra)....
Mashaallah, hizo ni staftahi zinazosaidia zoezi la kubaiolojiana kuwa mubashara zaidi. Nitazidi kumuhusudu mlengwa kwa kiwango cha Standard Geji
 
@
Mkuu mmeniita Mara nyingi Sana.

Nilikuwa bize na kazi ya kuwapikia msosi watoto wa shule,si unajua Mimi ni mpishi mkuu wa shule Kaka?

Glenn unasemaje mkuu? My baby Lenie Kuna Nini kwani eti?
Lenie ametamka leo kuwa wewe huna pumzi ametangaza kumchukua kijana mwenzako Analyse wewe utakuwa muosha vyombo na usafi.
Kwako Manyanza ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Back
Top Bottom