Satoh Hirosh
JF-Expert Member
- Mar 30, 2021
- 6,432
- 25,646
Hatimaye umerudi.Imekuwaje kuwaje Mkuu?
Nimefurahi kukuona hapa mrembo. Hope you are doing well!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatimaye umerudi.Imekuwaje kuwaje Mkuu?
Sitafuti yeyote,natafuta hela,nikizipata watanitafuta wao.Tumefungwa sote Kijana. Bora ujiweke pembeni tu. Tafuta Saizi yako ili uwe unajipimia mwenyewe tu. 😂😂😂😂
Tulia wewe uoneHaiombwi hivyo.
Huyo hana chake, Alikuwa anazengea zengea tu 😅😅Masikini Satoh Hirosh ina maana hana chake tena kwa Lenie ?
Oi Glenn naona mdogo wetu jimbo kalishindwa kabisaaa 😂😂😂
Bro, kuna kiumbe humu alinifuata pm eti anauliza...Huyo hana chake, Alikuwa anazengea zengea tu 😅😅
I'm not crying man!Stop crying...be a man bro.
Sasa sisi wa kimya kimya ndiyo wapasia nyavu hatari.Bro, kuna kiumbe humu alinifuata pm eti anauliza...
ERoni Analyse Extrovert, Glenn
Mnatumia nini kuwavuta warembo jf?
Nilicheka sana.
Nikamwambia mimi hata sina demu jf na sina mpango...huu ni utani tu.
Hajaamini kila saa anaomba dawa.
Analyse kama una dawa nikuunge na mdau umsaidie mimi sina kitu😂😂😂
Ni utani tu aisee, toka nimejiunga JF huko pm sijawahi kwenda mm. 😅😅Bro, kuna kiumbe humu alinifuata pm eti anauliza...
ERoni Analyse Extrovert, Glenn
Mnatumia nini kuwavuta warembo jf?
Nilicheka sana.
Nikamwambia mimi hata sina demu jf na sina mpango...huu ni utani tu.
Hajaamini kila saa anaomba dawa.
Analyse kama una dawa nikuunge na mdau umsaidie mimi sina kitu😂😂😂
Mmmmbwa wewe🤣Ni utani tu aisee, toka nimejiunga JF huko pm sijawahi kwenda mm. 😅😅
Nadhani labda mzabzab Behaviourist ERoni na Extrovert wanaweza kumsaidia, hawa ndio watakuwa na dawa. Hata mm naiomba hiyo dawa
Sio kweli mkuu, PM zimewekwa kwa ajili ya kuchat na moderators tu, na sio kwa sisi members.Sasa sisi wa kimya kimya ndiyo wapasia nyavu hatari.
Analyse mademu si wanampendea stori zake. Ngoja siku aishiwe madini. 😅
Kaka utamfanya akuamini huyo, ila sio kweli 😅😅😅.
Huu sasa utoto, huiupaswa kuchokozwa uchokozeke utoe siri...be a man mjinger wewe😂😂😂
Haujui nlichofanya??? Hadi uone hirizi kwenye mkia wa fisi 🤣🤣🤣Nikikuonanaga popote nakosa uvumilivu moyo wapasuka pwaa, umenifanyia nini kipenzi? Msukuma wangu🤣🤣🤣🤣
Glenn unasahau kuwa Analyse aka aposto anapenda mashangazi😀anasema shangazi akikugusa na ziwa lazima uungue lina moto hatari ila hawa vitoto hawana maajabu🤣🤣🤣Kaka utamfanya akuamini huyo, ila sio kweli 😅😅😅.
Gily Half american Mzee wa kupambania DeepPond plus na ww Glenn nyie ndio wenye kismart humu ndani.
Wewe hata nikufume ukiloga live sikuachi yaani.Haujui nlichofanya??? Hadi uone hirizi kwenye mkia wa fisi 🤣🤣🤣