Unamuogopa mwanamke au mwanaume wa aina gani kwenye mahusiano?

Mwanamke tapeli kuna pisi moja hiyo tulifahamiana nayo kama miaka miwili mimi naishi mbali naye akaniingia kwa ujanja kwamba anahitaji kuja kunitembelea mkoa niliko ila akasema hana nauli.Nilimtumia 50,000 akaanza kutoa visababu vyake kwamba ameahirisha kuja.Kwa jinsi nilivyokuwa nimejiandaa kula mbunye nilikasirika na kuamua kumpiga block
 
Mwanaume mwenye inferiority complex. Hata ukimzidi kipato ukiwa kimya yeye anaoma unamdharau.
 
Mwanaume mfupi anaeza panda juu ya stuli akakupiga. Mwanaume mweupe ukimnyonya tu shingo kidogo kawa mwekundu kama nguruwe [emoji2961][emoji2961]
Kunyonywa shingo 😮,hili ni kosa la jinai la pili likitoka mwanaume kushikwa kalio
 
Wanawake kama hawa ukiwapata ni kucheza na marinda yao tuu hakuna namna
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…