Unamuona huyu Mwanamke?

Anatoa ya moyoni na hii ndio maana halisi ya jamii forum mtu akijinyonga mseme ooh mbona hakuomba ushauri kwa watu mjibu politely tu haya mambo hayana mwnyw
Sa angesema Jaman mi nimeumizwa na kuanzia Leo na washauri Moja,Mbili sio kuja hapa unaanza kutoka Kauli za kudhalilisha one gender.

Kuna kipindi tupo shule Advance just Boyz hapo Ilboru Mwalimu wangu mmoja alikua anatumbia Kila kitu unakifanya Kwa mdada au Mwanamke Flani Waza angefanyiwa Dada Ako au Waza anafanyiwa Mama Ako.

#πŸ‡΅πŸ‡Ή
 
The good news ni kwamba nimemruhusu mpenzi wangu kunicheat ... na akiona nanzingia aende zake simlazimishi.. hawa viumbe siku hizi hawana formula kabisa
Yani Hawa sio wakulilia.

Kuna msela wangu aliwahi niambia Mimi nikiachwa napenda kwingine na sio kulialia haya maisha maisha mafupi kuendekeza majuto.
 
Huyo mwanamke yupo sahihi. Jamaa awe muelewa aendelee na maisha mengine. Ndio mana kuna ule msemo tunakumbushwa toa kadri ya uwezo wako ila hakikisha ni kitu unaweza himili kukipoteza, hivi vilio visingekuwepo.
 
Hiyo nimeeleza kwa wanawake wote ,hata kama ni dada angu, sjui binti yangu.
 
Za kishua zinapatikana hzo hizi ambazo hazjui kufua chup kwa mkono ukute hapo kwa sisi tulio kulia street
Ukishajipata ndio wanajifanyaga kurudi kwanza sijui nan anawapaga taarifaπŸ˜‚πŸ˜‚
Anyway tu find pisi za kishua tu.
 
Utapata taabu tu, kwanza ni uchafu, wanaliwa na midudu kibao so hata ladha sidhani kama watakuwa nayo, pili kuwanunua ni gharama vile vile. Bora mtu atafute mwanamke atayevumilia maisha ya kawaida.
 
Unahamasisha ujinga tu! Unajua kununua malaya Ina risk kiasi gan mimi nimekula sana bitches wa kununua kusema ukweli ni upuuzi tu bora ungewashauri vijana wawe Ata hobbies kupunguza mda wa kuwaza mapenzi
Yes mtapata magojwa ya ajabu ajabu.
 
Nipe link

Nyingine nkutumie wasapu??
 
Baki hivyo hivyo single hakuna mwanamke anaejielewa akakubali kuwa na mwanaume mchukia wanawake get that into your thick skull
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…