Unamuona huyu Mwanamke?

Ndiyo
 
πŸ˜‚
 
Za kishua zinapatikana hzo hizi ambazo hazjui kufua chup kwa mkono ukute hapo kwa sisi tulio kulia street
Zingatia neno wakishua πŸ˜…, kwenye pesa hana ushamba, na kupendaga ikauwa love connected.
Achana na hawa anakuambia i love you ya njaa
 
Nakubaliana na wewe zaidi ya 100%. Huyu wa kwangu namfanyia kila kitu. Lakini ananitangaza kwa watu kwamba mimi ni chizi.
Pole sana kaka, hio ni red flag ,amekudharau sana .maana yake hathamini chochote unachomfanyia,

Bro imagine hayo unayomfanyia, ungemfanyia mama yako namna gani angekushukuru?πŸ₯²

Hakufai huyo ,japo ni ngumu kuukubali huu ukweli:
 
Baki hivyo hivyo single hakuna mwanamke anaejielewa akakubali kuwa na mwanaume mchukia wanawake get that into your thick skull
Tukisema ukweli mnatuchukia nyie shameless non-virgin endeleeni kuwachuna hao simps, masculine hamtupati kizembe hivyo

As long as you're a non virgin, I have concluded that you had a promiscuous past

You can fool good boys but not me
 
Tukisema ukweli mnatuchukia nyie shameless non-virgin endeleeni kuwachuna hao simps, masculine hamtupati kizembe hivyo

As long as you're a non virgin, I have concluded that you had a promiscuous past

You can fool good boys but not me
Eti masculine, na wewe unajiita masculine, wewe pamoja na umri wako kwenda you can't pull a woman,Huna mahusiano uko single halafu unajidai kushauri wenye mahusiano eti unajiita masculine, umasculine hauji kwa kuangalia porn na kujichua ndugu....
 
Umeongea ya maana sana ila kama ananipa ngono basi inatosha maana kwa Sasa nadhani ndicho nachotaka kwa mwanamke I honestly don't believe in love for now but if she give me sex in exchange of money I pay deliberately
Au vijana wanataka wapewe roho πŸ˜€, jamani kama unakula pusy understand it is ur time and enjoy it until when you can't eat it any more then look for another chick.
 
Kama mapenzi yamewashinda wajalibu hata kilimo au siasa za Chadema, Wasituhubirie hate sisi magentleman
 
Kiufupi Mapenzi hayashauriki na Usikute kabisa Mtoa Mada akati anatoa Mada katoka kutuma na Ya kutolea.
Humu Mitandaoni ukija kichwa kichwa utajikuta unajichanganya mwenyewe tu.
 
Mwanamke sii tu kuwa na bikra, kuna vitu kibao vinavyo fanya Mwanamke kuwa bora
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…