Kuna mmoja alipost status, baada ya dakika mbili kama siyo nne, viewers 200+Pisi kali wanao mtongoza kila siku hawapungui 50 wasap status yake viewers 650 what do you expect 😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna mmoja alipost status, baada ya dakika mbili kama siyo nne, viewers 200+Pisi kali wanao mtongoza kila siku hawapungui 50 wasap status yake viewers 650 what do you expect 😂😂
NdiyoNauza hereni za dhahabu....
Matajiri hamjambo...... Nauza hereni zangu, mmiliki mimi....ni gram 1.4 nahitaji laki 3 tu ya fasta, ila ukiniongezea nitashukuru... Kaka zangu haya zawadi ya weekend mkawasapraizi muwapendao. Serious buyer njoo pm, unipe location nkuletee, Dar tu....mikoani situmi. Risiti nlionunulia ipo...www.jamiiforums.com
Nyingine nkutumie wasapu??
Alafu unamtongoza unaenda ku usambaratisha moyo.. unakuja kutuanzishia uzi huku😂😂Kuna mmoja alipost status, baada ya dakika mbili kama siyo nne, viewers 200+
ilikuwaje kuwaje hadi akaona jina la account yako?Bas demu akaanza kujileta ooh kampuni yako Inawafanya kazi wangapi kumbe tu ni zile ni mipango🤣Ila nilijifunza kitu
PointNever play fatherly or husband role on a girlfriend
😂Nilikua na demu namtumia hela anazrudisha🤣afu kesho yake ananiomba najikuta nimempa Ila Sasa Baada ya kupita miaka mitatu si akaja akawa kapigika akaanza Tena hela akijua mimi bado mnyonge Akaja kuniomba hela jibu lilikuwa ni moja tu "choma kidole cha matackle yako afu ujinuse huko ndo hela zitatoka" 🤣
Zingatia neno wakishua 😅, kwenye pesa hana ushamba, na kupendaga ikauwa love connected.Za kishua zinapatikana hzo hizi ambazo hazjui kufua chup kwa mkono ukute hapo kwa sisi tulio kulia street
Mapenzi usiyachukulie serious sana kiongozi, yatakuumiza vibaya na kukupotezea direction.Dah
kama mm mkuu Siku ya tatu hansemeshi 😑
Pole sana kaka, hio ni red flag ,amekudharau sana .maana yake hathamini chochote unachomfanyia,Nakubaliana na wewe zaidi ya 100%. Huyu wa kwangu namfanyia kila kitu. Lakini ananitangaza kwa watu kwamba mimi ni chizi.
Baki hivyo hivyo single hakuna mwanamke anaejielewa akakubali kuwa na mwanaume mchukia wanawake get that into your thick skull
Eti masculine, na wewe unajiita masculine, wewe pamoja na umri wako kwenda you can't pull a woman,Huna mahusiano uko single halafu unajidai kushauri wenye mahusiano eti unajiita masculine, umasculine hauji kwa kuangalia porn na kujichua ndugu....Tukisema ukweli mnatuchukia nyie shameless non-virgin endeleeni kuwachuna hao simps, masculine hamtupati kizembe hivyo
As long as you're a non virgin, I have concluded that you had a promiscuous past
You can fool good boys but not me
Au vijana wanataka wapewe roho 😀, jamani kama unakula pusy understand it is ur time and enjoy it until when you can't eat it any more then look for another chick.Umeongea ya maana sana ila kama ananipa ngono basi inatosha maana kwa Sasa nadhani ndicho nachotaka kwa mwanamke I honestly don't believe in love for now but if she give me sex in exchange of money I pay deliberately
Andiko langu halija lenga kumchukia mwanamke..na nimesisitiza mpende at your own risk.. punguza makasiriko broNa wewe pia muscular man, chuki kwa wanawake inatoka wapi km wewe ni muscular, msishanie hatujui km nyie mnaoandika upumbavu humu km ni mashoga!
Message delivered!Hahaha ,pain landed safely
Kama mapenzi yamewashinda wajalibu hata kilimo au siasa za Chadema, Wasituhubirie hate sisi magentlemanSijatukana ila nimesema kulingana na ulivyoeleza.
Hivi nikuulize Kuna Mke anatokea Bila kua demu wako?
Na unataka useme kua unakua na demu humjali unataka Hadi siku umuoe ndio uanze kumjali?
Huyo labda Dada Ako.
One thing ni Mtu kama ni mbaya ni mbaya tu kama atakuliza hata mkeo atakuliza tu the same to us Men.
So pata chimbo lako likikuliza umia silently penda kwingine sio kusema onhooo mara hiv mara hivi labda kama wewe ni motivational speaker.