Unamuwaza asiye kuwazia: Kwanini uteseke na mtu mmoja ambaye hana mpango nawe?

Sorry guys mim mwenyew nipo ktk mahusian lakn nateseka kwel toka niwe na mahusiano na huyu mwanamke sikua wai kumtilia mashaka hivo toka alivo niongepea mpk leo simuamin ilkuwa hiv kujaa jamaa mmoja alkuw anasema kakaake kumb bwana ake ilo mim nikagundua na nikwambaia lkn akapinga ila namb za yule jamaa akanipa kwa malumbano makubwa kias akaniblock kbs nikapat kujua nikwel yule sio kaka nikamtafuta nikwambabia lkn yey mda huo akawa atak tena tuwe na mahusiano ila 7bb nampenda nikawa mpole nikaomba yaishe ss mpk leo kuna mamb akinya me natak kujua ila inakua tunagomban juz tu hapa yul dem akunitafut tok asubuh ikaja nichek jion ooh mulla nilkuw hospital hiv narud ss napata chai me nikawa mpole na ndo nilivo kila siku nikiwa makl anaomba tuachanae ss nikamwambia kama kwel ulkuw hospital nioneshe kadi la hospital kwa kupiga picha nakutuma whtsapp ss unazan alituma zaid ya ugomv tena oh kam unuamin niache nikamtafut usiku 7bb yey bar merd ivo pia nilkuw sijui ila nikachunguz adi kujua ss nilivo mtafuta akajibu ww kaka jiheshimu unapoheshimiwa wallah nilkufa nguvu mpk leo hii sijamtafut ila status anawek vijembe kuhus mm nina wivu walijing
 
Tafuta uzi wangu unaitwa "Je,Ulishawahi kulazimisha mpenzi au rafiki kubaki maishani mwako"
Utakusaidia
 
Pole..hakufai
 
Man kimbia mbali sana na pepo huyo
 
Na ww unampenda sana km ndo mziwanda kwa wanawake, tafuta pisi nyingine huyo mblock usitake kujua chochote kuhusu yy, na inawezekana ndo mpenz wako wa kwanza mana ungekuwa konki wala usingeomba msamaha kwa kosa lake ACHANA NAE UTAPATA SUKARI NA PRESHA
 

Hii ni chai, mwanamke kama hakupendi, hakupendi tu CONTROLA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…