Unamuwaza asiye kuwazia: Kwanini uteseke na mtu mmoja ambaye hana mpango nawe?

Wanaojiua ajili ya mapenzi ni wajinga, yaani na ugaidi wangu huu nilie kisa mwanamke, Never😅😅.
Nadhani nitalia na kujicheka siku hiyo.
 
Naomba kujuzwa nini hutokea hadi mwanaume analia kisa mapenzi??? Hoow!!!😳
 
Daah Joannah umemaliza mpenzi
 
Nadhani mimi nafanana na wewe
 
Sio upumbavu,it's a human nature,wewe sio robot,usijifsnye super man,there is no such a thing as "super man"
We are just being human,and getting hurt is part of being human
 
Kuna njemba zimezima Amygdala zao kwao muda ila zikikaa zenyewe zinalia vbaya mno... .... Energy in motion😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…