Mkuu, tafuta pia na "The Hunger Games". Kama uliipenda Maze Runner utaipenda na hiyo pia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu ukipata time cheki vivarium ni movie kali kama majamaa wamestuck kwenye neighborhood yenye nyumba zilizo fanana na hawajui wanatoka vipiView attachment 1407952View attachment 1407954
Pamoja boss. Tafuta na zingine hizo u-enjoy!Nimetoka kuichek Escape room now
Ipo vizur chief! Big up kwako
Ikitoka muendelezo wake usiache kutushtua
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahah uliitazama The Hunger Games ipi? Maana pia zipo kama The Maze runner, ni sequel ... uliiona 5th wave?Tayari kiongozi ila hunger games haikunikosha kama maze runner
Hahah uliitazama The Hunger Games ipi? Maana pia zipo kama The Maze runner, ni sequel ... uliiona 5th wave?
Sent using Jamii Forums mobile app
Labda ujui English na huweki subtitle ndo Mana unashindwa kuzielewa.Mkuu upo vizuri aisee unajua sometimes kuna movies unakuwa nazo ila utamu wa story huujui mfano me nakiri kuna movies kati ya ulizozitaja hapa ninazo ila sikuwahi kujua story zake hivyo mkuu napenda kukwambia ukweli unakipaji cha uandishi hongera sana
Sent from my iPhone using JamiiForums
Nini hujaelewa mkuu? Mbona ipo clear. Bwana mmoja, mwanasayansi wa mambo ya anga, anapewa kazi maalum ya kutafuta makazi mapya ya binadamu baada ya dunia kukumbwa na uhaba mkubwa wa chakula kutokana na majanga ya asili kama vile ukame na vimbunga.
Kutokana na majanga hayo kumekuwa hakukaliki hivyo NASA wanafanya namna kutafuta makazi mengine ambayo yatamkidhi binadamu mbali na dunia wanayoishi. Lakini sabb ni hatari kupeleka watu wote kwa mkupuo maana hawana taarifa zaidi kuhusu huko, ndo wanaamua kuwatuma baadhi.
Filamu hii inachanganya kidogo maana inahitaji uelewa wa mambo ya sayansi ya space. Nadhani uliona mambo kama vile wormhole na dimensions. Sasa Wormhole ni njia za kinadharia ambazo zinaaminika zinafupisha safari ndefu za mambo ya anga za juu, yani kama vile shortcuts kwenye space. Na ndo hiyo wanayoitumia wanasayansi hao kufikia huko kwenye ulimwengu mpya wapate kuona kama pataweza kalika.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hata mm kizungu kinanipiga chenga,na sipendi movie za kutafsiri kabisa wanazinguaLabda ujui English na huweki subtitle ndo Mana unashindwa kuzielewa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Niambie namna ya kuweka eng subtitle kwenye movieLabda ujui English na huweki subtitle ndo Mana unashindwa kuzielewa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Niambie namna ya kuweka eng subtitle kwenye movie
Me natumia simuKama unatumia pc download media player inaitwa MPC HC hii inaweka subtitles automatically