Unapoanzia uchawi ndipo sayansi inapoishia

safi mkuu ila kwa kukazia tu watu waelewe kwamba si kuiamini tu damu ya Yesu Kristo kwa kuikiri vinywani mwao bali ni lazima waiishi; wawe wasafi wa kiroho na kimwii hii ni muhimu sana, Pamoja na kuzishika amri kumi za Mungu, wamtumikie yeye peke yake tu.

Vinginevyo nguvu ya uchawi haiwezi kukuacha salama.
 
SALUTE,
Kaka you are Inteligent and Knowlegdeable, wachache sana wanajua haya, BIG UP.
 
NNE Mchawi hahitaji kwenda NECTA kuiba majibu... Kama akihitaji mwanae afaulu atamletea majibu kwa njia ya Bluetooth ya kilozi au ata insert majibu automatically kwenye medula yake
Mshana nisaidie hapa, how come nilivyokuwa Secondary nilikuwa naona maswali ya mitihani na nayakuta kweli kwenye mtihani wakati Baba yangu hakuwa mchawi( Alikuwa mlevi kama John Walker).
 
Kwa hiyo ndugu mshana unataka kuniambia sometimes uchaw ni dhambi sometimes sio thambi pia maana Mungu mwenyewe ni roho kwa mujibu wa maandiko.
 
Mshana nisaidie hapa, how come nilivyokuwa Secondary nilikuwa naona maswali ya mitihani na nayakuta kweli kwenye mtihani wakati Baba yangu hakuwa mchawi( Alikuwa mlevi kama John Walker).

Kuna ile mada ya telekinesis na mada nyingine ya machale pia mada ya mind reading, nimesahau title zake zinajibu maswali yote
Ila huu ni uwezo na kipawa cha asili cha kujua yajayo
 
Sasa faida ya moja kwa moja ya uchawi ni nini? Je mtu anaweza akatumia uchawi katika kuhamasisha watu wamrudie Mungu?
Na je mtu anaweza akawa mchawi bila kutoa kafara, kuwanga au bila kula nyama ya binadamu mwenzie?
 
Sasa faida ya moja kwa moja ya uchawi ni nini? Je mtu anaweza akatumia uchawi katika kuhamasisha watu wamrudie Mungu?
Na je mtu anaweza akawa mchawi bila kutoa kafara, kuwanga au bila kula nyama ya binadamu mwenzie?
Huwezi kuifanya gari ipae kama ndege au meli itembee barabarani japo vyote ni vyombo vya moto lakini mechanism zao hazifanani.....
Uchawi ni kinyume cha nuru ndio maana tuna urefer kama ulimwengu wa giza lakini huko gizani si kila kilichomo ni kibaya
 
KuNa hii njia ya kujichinja roho inatoka ndani ya mwili then mwili unaanza kuifukuzia kwa nyuma nmewahi kuijaribu nilitumia sekunde 5 toka Dar hadi visiwa vya comoro kwenye kikao
 
Sawa. Ngoja niishie hapa maana nasikia kuna roho ndani inaanza kunisukuma niwe mchawi.
 
Mi naomba unisaidie
Tanzania ina mengi hasa kwenye biashara hapa nina majnga ya kutosha faida sioni zaidi ya pesa kuisha nifanyaje nipate faida kwenye biashara yangu
 
Mkuu mshana Jr Kuna demu nataka unitenganishe nae yani tuwe mbalimbali kama mafuta na maji
 
Mbona Mimi sirogi popote na wala sijawahi kuona wala kugusa tunguli?
Uchawi sio lazima ubebe tunguli.... Tena hasa uchawi huu wa kisasa unaochanganywa na imani za kishetani na ibada za kuzimu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…