Unapoanzia uchawi ndipo sayansi inapoishia

Unapoanzia uchawi ndipo sayansi inapoishia

uchawi sio kwamba unafwata ikitoka sayansi ila sanyansi ni nyenzo aliopewa mwanadamu na mungu iliikuyaamudu mazingiraa yake
na kujiumbia vitu vyake maana biblia inatutambua kuwa sisi ni miungu. Na uchawi ni nguvu inayo taka kupingana na mungu ambae ni muweza wa yote. Labda ungesema miujiza inafwata baada ya sayansi. Ila uchawi ni muijiza fake kutoka kwa shetani ambayo inawafanya watu wajihisi ni miungu watu kumbe ni wapambavu tu hakuna wanachokijua zaidi ya kutoa kafara za maana hamna uchawi bila kafara. Hata hivyo tumeona uchawi umepingwa Sana na biblia.
Bado hujaufahamu uchawi katika uhalisia wake na muktadha mzima wa hii mada..Tafadhali rejea usome tena kwa utulivu
 
Yesu kutembea juu ya maji ile ni miujiza Sasa ile ndo ulinganisha na sanyansi. Lakini sio kulinganisha na Mambo ya kipumbavu ambayo hayana maana kweli ila ni kutesana tu na kutokuwa na maendeleo.
Nipe tofauti ya muujiza na uchawi
 
Tuanzie na zongo kule Tanga, hii ni aina ya uchawi unaokaa kwenye macho..... Mwenye hili fataki la zongo akikuangalia tu tayari transmission inakuwa imefanyika... Ni mfumo fulani wa wireless communications... Nusu saa kubwa utaanza kuumwa tumbo na kuharisha sana! Tiba yake ni nini? Unga fulani imekaa kama magadi unaitwa MAKATA... ukishakunywa hiyo dakika kumi nyingi umeshapona! SAYANSI hapa ingefanya nini? Ingetumia mlolongo mrefu wa kutengeneza bacteria wenye virus wa ugonjwa wa kuhara... Ingetafutwa njia na kumwambukiza mtu hao virus kisha aanze kuumwa... N baada ya hapo ungeanza mchakato wa matibabu.... Uchawi hauna longolongo zote hizo ni hit n run... Finish.... Na infant wireless transmission theory ni copy n paste toka kwenye uchawi

Mfano wa pili kupaa angani ama kusafiri..
Mchawi ana njia tatu rahisi sana
1.kwa kutumia kifaa kama ungo, fimbo ama ungo. Usafiri wa angani
2. Kutumia mnyama kama fisi nk.. Usafiri wa nchi kavu.
3. Kutumia wireless transmission.. Unajiandaa kisha unafumba macho... Sekunde kadhaa ukifungua umeshafika.. Hii inaitwa serve all purpose.. Mwendokasi wake ni zaidi ya supersonic speed... Kwa usafiri huo kama ni sayansi ingetumia mlolongo mrefu wa kutengeneza ndege magari na vyombo vya majini.. Na ingechukua muda na taratibu nyingi...

Mfano wa tatu.... Kuingia ndani kwa mtu... Kupitia pembe ya nyumba ama chumba chako... Mchawi ana uwezo wa kuingia na kukufanya chochote atakacho na akaondoka salama ukiwa wala hujui ulichifanyiwa.. Utastuka akishaondoka... (Usiwaze popobawa) sayansi haina uwezo huo... Wamejaribu wameshindwa..

Mfano wa NNE fumanizi la kunasiana... Ama kunasishwa mziho au kitu ulichoiba... Hii magnetism theory bado sana sayansi kufika huku....
Sayansi ina limitations nyingi kuliko uchawi.. Sayansi ni ubunifu wa kibinadamu kukopi nguvu asili zisizoonekana lakini zinafanya kazi na matokeo yanaonekana... Inapoishia sayansi ndipo uchawi unapoanzia.. Na kwakuwa sayansi ndio inaiga na kuhawilisha hivyo kamwe haiwezi kutenda kama halisi.....

Tofauti kubwa iliyopo kati ya SAYANSI na UCHAWI ni ITHIBATI... sayansi ina ithibati japo si kwa aslimia miamoja... Uchawi hauna ITHIBATI lakini matokeo yake ni asilimia mia moja.... Sababu ni moja tu... Uchawi una asili ya ulimwengu wa roho... Na ulimwengu wa roho ndio ulianza kabla ya ulimwengu wa macho ulimwengu wa sayansi....
Kiumbaji binadamu ndio kiumbe wa mwisho kuumbwa hivyo hata awe mjuzi na mbunifu Kiasi gani hataweza kufanya kitu kwa mafanikio ya asilimia mia moja bila kugusa ulimwengu wa roho... Ukisoma The mason doctrine utanielewa vema....

Asubuhi njema!
Ni kweli kabisa na nina ushuhuda wa jamaa fulani alienda kwa mganga kwenye kijiji kimoja na alitaka mganga aende naye Dar ili akazindike nyumba yake mzee akamwambia nyie tangulieni pandeni gari mimi nitakuja huko baadaye.siku huyo babu anaondoka hakupanda gari na walimkuta ameshafika yupo mlangoni anawasubiri.
 
Hakuna chenye upande mmoja chini ya jua..kila kitu kina kinyume chake
Sasa hivyo ndo ilivyo shetani kaiba maarifa ya miujiza na kuyabadilisha ili apate watu wake. Hafu kingine tunatumia miujiza mahali ambapo sayansi imeshindwa kwa kumuomba mungu pia hata kwa kujitamkia mwenyewe maana sayansi ni yakimwili. Mfano hivi unaweza ukaniambia Tanzania kutokua na corona ni uchawi maana sayansi iliishia kwenye one meter, lockdown sijui, nawa mikoni na sanitizer sijui, mda wote shule zimefunguliwa, masherehe yanapigwa Kama kawa hii yote kwa ile magufuli kumtanguliza mungu hata Kama ana imani Hana au anayo. Na kusema kwa mdomo kua tz hakuna corana tayari kaumba kitu halisi maana maneno huumba.
 
Sasa hivyo ndo ilivyo shetani kaiba maarifa ya miujiza na kuyabadilisha ili apate watu wake. Hafu kingine tunatumia miujiza mahali ambapo sayansi imeshindwa kwa kumuomba mungu pia hata kwa kujitamkia mwenyewe maana sayansi ni yakimwili. Mfano hivi unaweza ukaniambia Tanzania kutokua na corona ni uchawi maana sayansi iliishia kwenye one meter, lockdown sijui, nawa mikoni na sanitizer sijui, mda wote shule zimefunguliwa, masherehe yanapigwa Kama kawa hii yote kwa ile magufuli kumtanguliza mungu hata Kama ana imani Hana au anayo. Na kusema kwa mdomo kua tz hakuna corana tayari kaumba kitu halisi maana maneno huumba.
nimalizie na kusema tumia sayansi kusolve matatizo ya Mfano kwenda hospital na kazarika yakikushinda mkimbilie Muumba wako
 
Ni kweli kabisa na nina ushuhuda wa jamaa fulani alienda kwa mganga kwenye kijiji kimoja na alitaka mganga aende naye Dar ili akazindike nyumba yake mzee akamwambia nyie tangulieni pandeni gari mimi nitakuja huko baadaye.siku huyo babu anaondoka hakupanda gari na walimkuta ameshafika yupo mlangoni anawasubiri.
Stori yako ni nzuri sana, lakini ni "Chai" fulani hivi.
Stori yako inafaa kwenye movies tu na vitabu vya kusadikika.
Kwa kifupi ni nzuri kwa burudani tu (entertainment).
Ki-fikra unapoelekea sasa, Mwisho wa siku utakuja kusema hata Spiderman yupo na ni ukweli kabisa.
 
nimalizie na kusema tumia sayansi kusolve matatizo ya Mfano kwenda hospital na kazarika yakikushinda mkimbilie Muumba wako
Exactly, kwa nini utishwe na ujinga na imani potofu (the so called uchawi) wakati unaamini kuwa yupo Mungu The Almighty !?
 
Ukinijibu hili utakuwa umefaulu kwenye nadharia yako ya SAYANSI
Ninini kinasababisha mawasiliano yetu hapa jukwaani?
Je ni simujanja?
Je ni mtandao wa simu?
Je ni app ya JF ama browser?
Je ni bundle?
Je ni software? (Uchawi)
Je ni ID yako?
Daaah hata ingekua necta ningekimbia hil swal
 
things work in oposite the way unavyojua wewe...unachotegemea kiwe ndo mana hakitokei kwa sababu unachotegemea kitokee ni illusion na kwa sababu unakuwa umeshakalili iwe hivyo but reality haiko hivo...the way how reality works is quite different from what you expect.....

Mtu kujua how to use laws zinazogovern life haimanishi aanze kuzitumia bila specific purpose....every knowledge is used to serve a specific purpose ....kuna baadhi ya juzi zinakulimit sehemu flani...sio kila kitu utakuwa unakifanya ..tena ukizidi kipimo ulimwengu uliokuruhusu unakupoteza katika dimension nyingine kabsaaa...lazima ufahamu kuwa there are so many dimensions ambazo zinashikilia uhai wa viumbe wote ulimwenguni..

Ulimwengu unaoonekana upo level flani ya dimension reality...sisi tunaonana kwa sababu tunaoccupy the same dimension ..occular alteration ipo katika dimension ...

Ukiwa mchawi manake umejua ujuzi wa kuingia katika dimension mbili au tatu tofauti depending na level ya uchawi ulionao..kwa hiyo the more unavyojua how to cross the boundaries katika reality ndivyo unakuwa na uwezo wa kusynchronize with the other world pia...kuna world nyingi ndani ya universe moja but with different level of dimensions...

The forces that open up the gate way ya kuingia other world ina mipaka yake make ukikosea tu mashariti ya kutumia nguvu hizo basi inakupeleka into other dimensions of other form of reality mpaka pale watakapokurudisha wajuzi wa mambo...

.Kuna mzee mmoja alikuwa mchawi sana kijijini kwetu ila aliwahi kupotea mazingira ya kutatanisha yani alikuja kuonekana badae sana ..

The more unavyozid kuasend into powers ndivyo unavopaswa kujua limitations za power hizo ila wapo watu waliofanikiwa kujua limitations na misingi ya kucontrol ujuzi huo na most of white people know much how to use the unseen forces lakini wanatublackmind sisi waafrica tuache hiyo mambo but they are the ones who know more how to play with entangled issues za kila nguvu na hao ndo wenye dunia hii,sisi wengine tupo tu kusubiri jua litachomoza asubuh na kuzama jion ila wapo wanaojua namna mambo yote yanavyotekea before,after and within the midst of the action ya kila kitu....

Ifahamike kwamba kujua uchawi sio dhambi ila ni kujua namna ya kuutumia,we avoid to know that thing kwa sababu hatuna hekima ya kujua faida yake...laiti tungelitambua how important it is ,we couldnt be proclaiming to God kwamba atusaidie ,everything is clear in this universe,science and technology are ones of the manipulation of unseen forces that work in the hidden form but now are put into physical reality but also in the hidden world things work under supersonic speed with maximum efficiency than in scientific way....

Hata quantum technology inalitambua hilo...kuna watu wanarisk maisha kugeuza hidden forces kuoperate in physical reality..every inversion ya technology unayoishuhudia nyuma yake kuna watu wamerisk maisha kuchange mode ya operation.....

Sometimes the truth of realitt is synchronized with the risk,so nothing is simple as you think....
Daaah mkuu uko vzr
 
Kweli kabisa.uchawi ni
Kitu kingine kabisa
Tuanzie na zongo kule Tanga, hii ni aina ya uchawi unaokaa kwenye macho..... Mwenye hili fataki la zongo akikuangalia tu tayari transmission inakuwa imefanyika... Ni mfumo fulani wa wireless communications... Nusu saa kubwa utaanza kuumwa tumbo na kuharisha sana! Tiba yake ni nini? Unga fulani imekaa kama magadi unaitwa MAKATA... ukishakunywa hiyo dakika kumi nyingi umeshapona! SAYANSI hapa ingefanya nini? Ingetumia mlolongo mrefu wa kutengeneza bacteria wenye virus wa ugonjwa wa kuhara... Ingetafutwa njia na kumwambukiza mtu hao virus kisha aanze kuumwa... N baada ya hapo ungeanza mchakato wa matibabu.... Uchawi hauna longolongo zote hizo ni hit n run... Finish.... Na infant wireless transmission theory ni copy n paste toka kwenye uchawi

Mfano wa pili kupaa angani ama kusafiri..
Mchawi ana njia tatu rahisi sana
1.kwa kutumia kifaa kama ungo, fimbo ama ungo. Usafiri wa angani
2. Kutumia mnyama kama fisi nk.. Usafiri wa nchi kavu.
3. Kutumia wireless transmission.. Unajiandaa kisha unafumba macho... Sekunde kadhaa ukifungua umeshafika.. Hii inaitwa serve all purpose.. Mwendokasi wake ni zaidi ya supersonic speed... Kwa usafiri huo kama ni sayansi ingetumia mlolongo mrefu wa kutengeneza ndege magari na vyombo vya majini.. Na ingechukua muda na taratibu nyingi...

Mfano wa tatu.... Kuingia ndani kwa mtu... Kupitia pembe ya nyumba ama chumba chako... Mchawi ana uwezo wa kuingia na kukufanya chochote atakacho na akaondoka salama ukiwa wala hujui ulichifanyiwa.. Utastuka akishaondoka... (Usiwaze popobawa) sayansi haina uwezo huo... Wamejaribu wameshindwa..

Mfano wa NNE fumanizi la kunasiana... Ama kunasishwa mziho au kitu ulichoiba... Hii magnetism theory bado sana sayansi kufika huku....
Sayansi ina limitations nyingi kuliko uchawi.. Sayansi ni ubunifu wa kibinadamu kukopi nguvu asili zisizoonekana lakini zinafanya kazi na matokeo yanaonekana... Inapoishia sayansi ndipo uchawi unapoanzia.. Na kwakuwa sayansi ndio inaiga na kuhawilisha hivyo kamwe haiwezi kutenda kama halisi.....

Tofauti kubwa iliyopo kati ya SAYANSI na UCHAWI ni ITHIBATI... sayansi ina ithibati japo si kwa aslimia miamoja... Uchawi hauna ITHIBATI lakini matokeo yake ni asilimia mia moja.... Sababu ni moja tu... Uchawi una asili ya ulimwengu wa roho... Na ulimwengu wa roho ndio ulianza kabla ya ulimwengu wa macho ulimwengu wa sayansi....
Kiumbaji binadamu ndio kiumbe wa mwisho kuumbwa hivyo hata awe mjuzi na mbunifu Kiasi gani hataweza kufanya kitu kwa mafanikio ya asilimia mia moja bila kugusa ulimwengu wa roho... Ukisoma The mason doctrine utanielewa vema....

Asubuhi njema!
 
Huenda uchawi ndio chanzo cha maendeleo duniani! Mf. Anaetumia msukule analeta maendeleo na watu wanafurahi pasipo kujua
 
Tatizo uchawi mambo yake yote hufanyika gizani, na malengo yake ni kutesa watu wengine... Sayansi malengo yake ni kumrahisishia maisha binadamu
 
Back
Top Bottom