Unapomjari mtu, mara nyingi huwa mtu ni Vigumu kuona unatenda sahibi.

Unapomjari mtu, mara nyingi huwa mtu ni Vigumu kuona unatenda sahibi.

Tman900

JF-Expert Member
Joined
May 30, 2017
Posts
589
Reaction score
1,897
Mwaka huu 2024 mwezi wa nne.
Mwenge Dar es salaam. Nilikuta na Dada mmoja 26 Miaka.
Nilitokea kumpenda nikamuomba namba tukandelea kuwasiliana.

Baada ya mda tukaanzisha mahusiano. Kila siku nilikua na mtumia pesa ya matumizi.
Huyo dada alinieleza kua ana Watoto 3.

Kwa kua nilimpenda nilikuabariana nae,kua ntampenda yeye na Watoto wake
Baada mda kusogea Kodi inatakiwa kulipwa. Mi nikaamua Kutafuta pesa nikanunua Kiwanja mwanzo niliwaza niandike Jina la yule mwanamkea maana nilinunua Kiwanja Ili nijenge huyo mwanamke apate Sehemu ya Kuishi yeye na Watoto.

Kwa kua nilitoa pesa kununua kiawanja na pesa ingine nikanunua matofari ya ujenzi huduma kidogo ilipungua kwa yule mwanamke.

Alibadilika na kua kauli mbovu na maneno ya dharau, unanitumia 5000/=, ya kula. Hiyo pesa ni ndogo sana mi nataka mwanaume ane ni huduma kwa kila kitu.

Nilimueleza pesa nyingi nimetia ktk nyumba mtakayo ishi wewe na Watoto pia kuepuka nyumba za kupanga.
Bado mwanamke alikua mkali na hata mawasiliano au ukimpgigia simu haupokei.

Kiwanja nimenunua kwa ajiri yake hilo sikumueleza, na hata Jina la hati ya pale nilioandika Jina lake, ila sikumueleza chochote kua nyumba nimeijenga kwa jina lake.

nilichoamua nilikaa kimya nikaamua kutulia, maana nimemjari mtu Asie na Future na Mimi.
 
Yaani kabla ya mechi tayari umeshapigwa goli tatu ...na Bado dakika ya 10 tu umecheza tafu penati .... Duuuh..... La nne na Bado tu unakaza fuvu ..... Kumbe ule msemo washamba hawaishi mjini kumbe kweli....
 
Tena jitahidi ukae kimya zaidi ya hapo na huyo Mungu wako unaemuamini kamwe usimuache maana amekuepusha na balaa zito, licha ya kumwambia dhumuni la ujenzi unaoendelea na hakutaka hata kukuigizia ili anufaike, shukuru sana mkuu.

Baya likuepukalo ni bora kuliko jema lisilokuwa na faida.
 
Yaani kabla ya mechi tayari umeshapigwa goli tatu ...na Bado dakika ya 10 tu umecheza tafu penati .... Duuuh..... La nne na Bado tu unakaza fuvu ..... Kumbe ule msemo washamba hawaishi mjini kumbe kweli....
Hapana nilifanya kwa Upendo maana hata Mimi niliwai saidiwa Maisha nilipokua mdogo...
Niko timamu na najua kua ana Watoto 3.
 
Mwaka huu 2024 mwezi wa nne.
Mwenge Dar es salaam. Nilikuta na Dada mmoja 26 Miaka.
Nilitokea kumpenda nikamuomba namba tukandelea kuwasiliana.
Baada ya mda tukaanzisha mahusiano. Kila siku nilikua na mtumia pesa ya matumizi.
Huyo dada alinieleza kua ana Watoto 3.
Kwa kua nilimpenda nilikuabariana nae,kua ntampenda yeye na Watoto wake
Baada mda kusogea Kodi inatakiwa kulipwa. Mi nikaamua Kutafuta pesa nikanunua Kiwanja mwanzo niliwaza niandike Jina la yule mwanamkea maana nilinunua Kiwanja Ili nijenge huyo mwanamke apate Sehemu ya Kuishi yeye na Watoto.
Kwa kua nilitoa pesa kununua kiawanja na pesa ingine nikanunua matofari ya ujenzi huduma kidogo ilipungua kwa yule mwanamke.
Alibadilika na kua kauli mbovu na maneno ya dharau, unanitumia 5000/=, ya kula. Hiyo pesa ni ndogo sana mi nataka mwanaume ane ni huduma kwa kila kitu.
nilimueleza pesa nyingi nimetia ktk nyumba mtakayo ishi wewe na Watoto pia kuepuka nyumba za kupanga.
Bado mwanamke alikua mkali na hata mawasiliano au ukimpgigia simu haupokei.
Kiwanja nimenunua kwa ajiri yake hilo sikumueleza, na hata Jina la hati ya pale nilioandika Jina lake, ila sikumueleza chochote kua nyumba nimeijenga kwa jina lake.
nilichoamua nilikaa kimya nikaamua kutulia, maana nimemjari mtu Asie na Future na Mimi.
SAMAHANI MKUU!! , KWANI UNAWAZA KUTUMIA NINI ?? UBONGO HUHUU AU??😡😡 , elfu tano ya mwanzo tu ilikuonyesha wewe NG’OMBE WA MAZIWA KAJA KUKUKAMUA!!
 
Hapana nilifanya kwa Upendo maana hata Mimi niliwai saidiwa Maisha nilipokua mdogo...
Niko timamu na najua kua ana Watoto 3.
Kusaidiwa kupo tu Mzee..... Ila huo wako ni zaidi ya msaada bosi. Hao watoto watatu wote baba mmoja!??.... Shukuru Mungu kama unaamini katika Mungu au katika chochote unachoamini. Umeponyeshwa pakubwa mnoooo
 
Mkuu mambo ya handicap waachie wakamaria, huko upande wa mapenzi ni utapeli na wizi mtupu shtuka janjaruka pia toa ushamba wa papuchi hizo zisijekukuharibia maisha aisee!

Hao manyoka hawafadhiliki na hawaaminiki hata yule uliyemuweka ndani, muda wowote sumu ikipanda atakutemea ASAP.

Enjoy pesa zako kwa Amani mwenyewe, wachana na manyokaaa watakukausha hao ni zaidi ya Conc acid.

Hallelujah!!!
 
Kusaidiwa kupo tu Mzee..... Ila huo wako ni zaidi ya msaada bosi. Hao watoto watatu wote baba mmoja!??.... Shukuru Mungu kama unaamini katika Mungu au katika chochote unachoamini. Umeponyeshwa pakubwa mnoooo
Asante.
Mkuu mambo ya handicap waachie wakamaria, huko upande wa mapenzi ni utapeli na wizi mtupu shtuka janjaruka pia toa ushamba wa papuchi hizo zisijekukuharibia maisha aisee!

Hao manyoka hawafadhiliki na hawaaminiki hata yule uliyemuweka ndani, muda wowote sumu ikipanda atakutemea ASAP.

Enjoy pesa zako kwa Amani mwenyewe, wachana na manyokaaa watakukausha hao ni zaidi ya Conc acid.

Hallelujah!!!
Asante nimekusoma
 
Sikunyingine tofautisha huruma na hisia, kabla ya kufanya maamu

Nyie paparikeni na mapenzi, unamnunulia mchepuko kiwanja wakati mwamba sijawah mnunulia hata wanja...
Nilikua nafanya kwa mapenzi yangu kwake.
Na Niliona ni vema kumsaidia sikutaka kua nalipa Kodi (Mara kwa mara) za Sehemu anapoishi ila nimjengee nyumba Aishi na Watoto, sema na mshukuru Mungu Mimi huwa sisemagi ninachotaka kufanya mpaka kikamilike ndo niseme.
Nilitaka nijenge mpaka ikamilike ndo nimwambie kua hii nyumba ni yako, na Watoto wako muishi hapo.
Ila Mungu ninae Muamini na kumuabudu amenionyesha rangi zote za huyo mwanamke.
Nashukuru kwa kulijua hili Jambo mapema.
 
Nilikua nafanya kwa mapenzi yangu kwake.
Na Niliona ni vema kumsaidia sikutaka kua nalipa Kodi (Mara kwa mara) za Sehemu anapoishi ila nimjengee nyumba Aishi na Watoto, sema na mshukuru Mungu Mimi huwa sisemagi ninachotaka kufanya mpaka kikamilike ndo niseme.
Nilitaka nijenge mpaka ikamilike ndo nimwambie kua hii nyumba ni yako, na Watoto wako muishi hapo.
Ila Mungu ninae Muamini na kumuabudu amenionyesha rangi zote za huyo mwanamke.
Nashukuru kwa kulijua hili Jambo mapema.
Yani nakupa na hii ya kichwa hata huyo mwanamke wanae wa kiume wakija kukua hatakubali na anaweza acha hata laana akija kugundua mwanae anataka aoe single mama achilia mbali wewe mwamba kabisa uliyetaka kuoa tripple mama una balaa sana sana jitafakari mno mno hebu katafute kabinti anza maisha acha upuuzi huo
 
Back
Top Bottom