Ndio uanzishe hiyo Kampuni yako ili ufanye hayo hakuna atakayekuingilia lakini sio kujifanya unajua kufoka kwenye mambo ya Kisiasa huku ukijua wote ni wamiliki WA nchi hii.
Upo utaratibu wa kumfokea mtu na sio mbele za watu kwenye mambo ya kitaifa.
Hakuna atakayekuzuia kumfokea Baba au Mama yako, au Mkeo au watoto au Wafanyakazi wa taasisi au Kampuni yako lakini kwenye ishu za kinchi ujipange