Unapowaambia wanaume watafute pesa, elewa wanatafuta pesa kwa ajili ya wanawake wa namna hii

Unapowaambia wanaume watafute pesa, elewa wanatafuta pesa kwa ajili ya wanawake wa namna hii

Robert Heriel Mtibeli

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2018
Posts
28,297
Reaction score
68,017
Kwema Wakuu!

Siku hizi kila mwanamke anakuambia tafuta pesa, kama huna pesa hunipati, basi unakatazama kademu kenyewe unabaki kusema Shiiiii! Kimoyo moyo.

Badala kademu kamshukuru Mungu tusio na pesa tupo wengi ndio maana nako kanapata nafasi ya kuonekana koo! Kanajikuta ati kanakubaragaza kuwa huna pesa, sijui tafuta pesa.

Hivi Kwa akili ya kawaida mtu akiwa na pesa atamtongoza mwanamke asiye na mbele wala nyuma?
Hata akimfuata anafikiri atampa hizo hela Kwa jinsi alivyo.

Mwanamke hana Traako wala Double kibini,
Mwanamke huna Sura yenye ushirikiano
Mwanamke shule ulikimbia madarasa yako hayatoshi,
Mwanamke umetoka familia Masikini
Bado uwaambie wanaume watafute pesa, unaumwa wewe!

Hilo ni kujiombea mabaya, elewa wanaume wakiwa na pesa wengi wao wewe hakuna atakayekutaka,
Na kama watakutaka ni Kwa ajili ya matumizi ya dharura Kama vile Tajiri Kula Dagaa Kauzu Kwa hamu tuu au Kwa masharti ya mganga.

Wanaume wengi wanatafuta pesa Kwa ajili ya kuopoa pisi Kali za Moto ambazo huenda hata nchini Tanzania zipo chache,
Wengi tupenda watoto shombeshombe wenye miili laini yenye walau nyama nyama.

Vitoto Rangi mtelezo au vyeupeupe na Kam weusi basi uwe mtelezo.

Hiyo ndio ndoto za wanaume wakiwa wanahangaika kutafuta pesa.
Usije ukadhani wanatafuta pesa Kwa ajili yako ambaye hueleweki.

Huwaga nawashauri Dada zangu hasa Wale wenye Sura ngumu na wasio na Hifadhi ya kutosha ya taifa, wazidi kuwaombea wanaume Hali ngumu kadiri wapatavyo nafasi.

Ombea wanaume wasipate pesa
Ombe wanaume michongo Yao isitiki,
Ombea wanaume wazidi kuteseka ili heshima na thamani yenu iendelee kuwapo.

Fanya kazi upate hela ili nawe upate Mwanaume umtakaye,

Sura huna
Elimu huna
Pesa huna
KAZI huna
Msambwanda wa kuzugia huna,
Bado utake pesa, unaumwa wewe!

Hata wanaume wapate pesa hutapata hizo pesa kama haupo kwenye viwango, elewa kuwa Duniani kuna Fungu la kukosa.

Hata Kwa wale Malaya wanaojiuza bado wapo wenye kulipwa pesa nyingi Kwa mchezo, na wapo wakulipwa mpaka elfu mbili Kwa mchezo.

Msije sema Taikon anadharau Bali najaribu kuelezea hali halisi iliyoko mtaani.

Ninyi endeleeni kuwahamasisha wanaume Watafute hela Ila juweni kuwa mnajichimbia kaburi Lenu la halaiki.

Muhimu, tuwasaidie binti zetu kupata elimu na kuwafundisha namna ya kupata pesa maana Huko tuendako wanawake wengi watakuwa kwenye Mateso makali,
Mwanamke kama hana pesa nyakati zijazo atateseka Sana..

Taikon amemaliza.
 
Kumbe unaongelea wa kasino!!!!

Basi sawa.

Sent using Jamii Forums mobile app

Huko si ndio wanawake waliojipambanua kuwa wanataka wanaume wenye pesa waliko

Ninyi huku mnaigiza,
Hata huku mtaani iko hivyo,
Lazima uwe na kitu ambacho mwanaume akikuona atashawishika kutoa mapesa mengi. Mifano ipo mingi
 
Huko si ndio wanawake waliojipambanua kuwa wanataka wanaume wenye pesa waliko


Ninyi huku mnaigiza,
Hata huku mtaani iko hivyo,
Lazima uwe na kitu ambacho mwanaume akikuona atashawishika kutoa mapesa mengi.mifano ipo mingi
Mie najua kwenye mapenzi hakuna maigizo,

Kitaa nawaona kibao,pisi kali na wapo hawana mchongo wanaishia kupigwa mimba

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mie najua kwenye mapenzi hakuna maigizo,,

Kitaa nawaona kibao,pisi kali na wapo hawana mchongo wanaishia kupigwa mimba

Sent using Jamii Forums mobile app

Si Kwa sababu hapo mtaani Masikini ni wengi.

Mimi naongelea jinsi wanaume wengi tulivyo,

Hakuna mwanaume asiyehitaji pisi Kali, tunapenda wanawake wazuri,

Hata ninyi mnalijua Hilo.

Kwa mwanaume uzuri ndio mapenzi😀😀😀 sijui kama utanielewa
 
Si Kwa sababu hapo mtaani Masikini ni wengi.

Mimi naongelea jinsi wanaume wengi tulivyo,
Hakuna mwanaume asiyehitaji pisi Kali, tunapenda wanawake wazuri,
Hata ninyi mnalijua Hilo.

Kwa mwanaume uzuri ndio mapenzi[emoji3][emoji3][emoji3] sijui kama utanielewa
Siwezi kukuelewa kweli

Na hao wanaume wanaolalamika kuhusu pesa ni masikini na hawana upendo

Mwanaume akikupenda atizizami sura wala tako,

Hao masikini ndo hivyo wanatafuta pesa hili wapatehizo pesi nyenye[emoji23],,,,,,,,,,,wakichunwa huko wanaanza kulia

"Kama umempenda mwanamke haijalishi yupo vipi,bali mbadilishe awe vile unataka weww"

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwema Wakuu!

Siku hizi kila mwanamke anakuambia tafuta pesa, kama huna pesa hunipati, basi unakatazama kademu kenyewe unabaki kusema Shiiiii! Kimoyo moyo.
...
Duh..!
Mkuu umeongea ukweli mtupu ila subiri waamke waje [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
kanuni ni hii

" MWANAUME TAFUTA PESA, UKIZIPATA TUMIA NA WANAWAKE"

Huna fedha, pambana na hali yako bro!
ukiwa nazo hakikisha una miliki wanamke wa kutosha.
 
Back
Top Bottom