Unapowaambia wanaume watafute pesa, elewa wanatafuta pesa kwa ajili ya wanawake wa namna hii

Unapowaambia wanaume watafute pesa, elewa wanatafuta pesa kwa ajili ya wanawake wa namna hii

Siwezi kukuelewa kweli

Na hao wanaume wanaolalamika kuhusu pesa ni masikini na hawana upendo

Mwanaume akikupenda atizizami sura wala tako,

Hao masikini ndo hivyo wanatafuta pesa hili wapatehizo pesi nyenye[emoji23],,,,,,,,,,,wakichunwa huko wanaanza kulia

"Kama umempenda mwanamke haijalishi yupo vipi,bali mbadilishe awe vile unataka weww"

Sent using Jamii Forums mobile app

Huwezi kunielewa Kwa vile wewe ni mwanamke, ungekuwa mwanaume ungenielewa.

Mwanaume hana nguvu Kwa pisi Kali wewe tatizo hujui nikisemacho,

Muombee mumeo apate pesa ili ujue tabia zake halisi. Wengi wanaume tunaigiza tukiwa hatuna kipato.

Masikini ndio tunaongoza Kwa Unafiki.
Siku tukipata pesa ndio tunakuwa Real😀😀
 
Huwezi kunielewa Kwa vile wewe ni mwanamke, ungekuwa mwanaume ungenielewa.

Mwanaume hana nguvu Kwa pisi Kali wewe tatizo hujui nikisemacho,

Muombee mumeo apate pesa ili ujue tabia zake halisi. Wengi wanaume tunaigiza tukiwa hatuna kipato.

Masikini ndio tunaongoza Kwa Unafiki.
Siku tukipata pesa ndio tunakuwa Real[emoji3][emoji3]
Anazo za kutosha na mie ni pisi mbovu kishenzi,hadi najiuliza kavutiwa na nini kwangu??

Wanaume bana,poleni

TAFUTENI PESA,



Sent using Jamii Forums mobile app
 
wanaume tafutenii pesaa...ka huna pesa mbinguni hutopaonaa hakyiii ya walahiii shweetaniii
 
Anazo za kutosha na mie ni pisi mbovu kishenzi,hadi najiuliza kavutiwa na nini kwangu??

Wanaume bana,poleni

TAFUTENI PESA,



Sent using Jamii Forums mobile app

😀😀😀

Kujipa Moyo ni moja ya nguzo muhimu kwenye maisha.

Ukiona mwanamke ni pisi mbovu Kama Mawardat😊😊 alafu mumeo anapesa anakung'ang'ania ujue unanyota ya Pesa.

Yaani wewe ndio mzizi Mkuu wa pesa zake kiroho. Hiyo ipo.
Na wanaume tukiwa na wanawake wabovu Kama nyie mkawa na. Nyota Kali huwa tunawanyenyekea Kama miungu hata mfanye kosa gani hatuwafukuzi😀

Ila elewa Jambo lilelile mwanaume mbele ya pisikàli ni Sawa na mbwa mbele ya chatu
 
[emoji3][emoji3][emoji3]

Kujipa Moyo ni moja ya nguzo muhimu kwenye maisha.

Ukiona mwanamke ni pisi mbovu Kama Mawardat[emoji4][emoji4] alafu mumeo anapesa anakung'ang'ania ujue unanyota ya Pesa.

Yaani wewe ndio mzizi Mkuu wa pesa zake kiroho. Hiyo ipo.
Na wanaume tukiwa na wanawake wabovu Kama nyie mkawa na. Nyota Kali huwa tunawanyenyekea Kama miungu hata mfanye kosa gani hatuwafukuzi[emoji3]

Ila elewa Jambo lilelile mwanaume mbele ya pisikàli ni Sawa na mbwa mbele ya chatu
Hahahahhahahahahahahah,,

Kikubwa pesa zipo[emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na hakuna kauli inayomuuma mwanaume kama akiambiwa "atafute pesa"

Sent using Jamii Forums mobile app

Inauma Sana ukiambiwa na Mwanamke mbovu Kwa sababu unajua kabisa hata siku ukipata hizo pesa huwezi tumia Naye.

Kuna mwanamke hata asipokuambia tafuta pesa mwanaume mwenyewe unajua hapa ninatakiwa kutafuta pesa.

Ndio maana mwanaume fukara akipendwa na pisikali huwa atamuambia Sitaki kukutesa, uwezo wangu ni wachini, sitaki uteseke.
Lakini akikutana na Wale Sura mbovu hakuna mwanaume atakayesema hiyo kitu.
 
Inauma Sana ukiambiwa na Mwanamke mbovu Kwa sababu unajua kabisa hata siku ukipata hizo pesa huwezi tumia Naye.

Kuna mwanamke hata asipokuambia tafuta pesa mwanaume mwenyewe unajua hapa ninatakiwa kutafuta pesa.

Ndio maana mwanaume fukara akipendwa na pisikali huwa atamuambia Sitaki kukutesa, uwezo wangu ni wachini, sitaki uteseke.
Lakini akikutana na Wale Sura mbovu hakuna mwanaume atakayesema hiyo kitu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]poleni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]poleni

Sent using Jamii Forums mobile app

Mwanaume hapewi pole Mkuu.
Pole wanapewa Wanawake na watoto.
Yesu alisema; msinililie Mimi jililieni ninyi na watoto wenu😀😀

Mwanaume tumeumbwa Kula Kwa jasho, hiyo ndio silika na Asili yetu, huwezi muonea huruma mtu Kwa asili na silika yake.

Ati umuonee huruma mwanamke Kwa kupata mimba au kujifungua, hiyo itashangaza Dunia.

Utamwambia hongera
 
Mwanaume hapewi pole Mkuu.
Pole wanapewa Wanawake na watoto.
Yesu alisema; msinililie Mimi jililieni ninyi na watoto wenu[emoji3][emoji3]

Mwanaume tumeumbwa Kula Kwa jasho, hiyo ndio silika na Asili yetu, huwezi muonea huruma mtu Kwa asili na silika yake.

Ati umuonee huruma mwanamke Kwa kupata mimba au kujifungua, hiyo itashangaza Dunia.

Utamwambia hongera
Sawa,hongereni kwa kubarikiwa pisi kali kwaajili yenu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siwezi kukuelewa kweli

Na hao wanaume wanaolalamika kuhusu pesa ni masikini na hawana upendo

Mwanaume akikupenda atizizami sura wala tako,

Hao masikini ndo hivyo wanatafuta pesa hili wapatehizo pesi nyenye[emoji23],,,,,,,,,,,wakichunwa huko wanaanza kulia

"Kama umempenda mwanamke haijalishi yupo vipi,bali mbadilishe awe vile unataka weww"

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna binadamu hata ukiwafungia pale jikoni Serena Hotel hawezi kuongezeka hata kidogo..
 
Back
Top Bottom