Unapowaambia wanaume watafute pesa, elewa wanatafuta pesa kwa ajili ya wanawake wa namna hii

Unapowaambia wanaume watafute pesa, elewa wanatafuta pesa kwa ajili ya wanawake wa namna hii

Kila mtu anatakiwa awajibike kwa maisha yake hakuna mtu aliletwa duniani ili akupe hela uwe na maisha mazuri hela ni za mwenye hela.Hela kama sio zako sio zako na huwezi laumu kama mtu hajakupa.Mwanamke anaejielewa hawezi tegemea hela za baba wala kaka wala mume wala boyfriend be responsible for your own financial freedom.
Hizi ni FSW type dicussion kwamba watu watafute hela akitafuta zitakua zako. bado zitakua zake.Nimeshuhudia wanawake wameolewa na wanaume wenye hela na hawajawah ona hiyo hela na sioni kama ni shida.Unauza utu kisa hela
 
Nisamehe Bhana!

Tuandaeni watoto wakike vizuri maana huko tuendako sio lelemama.

Amu unaniambia nitafute pesa wakati shule umekimbia, Trako huna, Sura hauna, Chapaa hauna, hivi kweli hata nikipata pesa utaambulia chochote kweli😀😀😀
Si ndo maana nakaanga mihogo maana najua sura sina, shape sina, pesa sina, urithi sina, shule neiheee.

Acha tu niendelee na biashara yangu ya kukaanga mihogo.
Ila one day yes 😁
 
Cha ajabu ukiwauliza hizo pesa ni kiasi gani hakuna mwenye jibu, hata mimi na umaskini wangu sijawahi kuambiwa tafuta pesa!
Nafikiri kuambiwa pesa inategemea umemwapproach nani na aina ya mtu uliyemwa approach.
Ikiwa ni changudoa ni sahihi kukwambia tafuta pesa kwasababu anauza
 
Na wanaume 80% ya pesa zetu tunazotafuta ni kwa ajili ya pisikali tu,either ni mke wako ambayo ni pisi iliyonyooka au Pisi Kali zilizopo mtaani

Mwanamme ninapanga kwenye apartment au nyumba nzuri na ndani Nina kila kitu cha maana kwa ajili ya kumseduce Pisi Kali itakayoingia ndani kwangu

Nitanunua usafiri wa gari asilimia chache ni kwa ajili ya kurahisisha harakati za safari zangu ila issue kubwa ya kuwa na gari ni attraction kwa Pisi Kali ambazo hazipendi shida

Kama una sura mbovu,huna Tackle,sura ya baba yako,wala hauna rangi ya mtume,hauna lips wala macho mazuri,aisee wala hauna haki ya kuniambia katafute pesa
 
Nafikiri kuambiwa pesa inategemea umemwapproach nani na aina ya mtu uliyemwa approach.
Ikiwa ni changudoa ni sahihi kukwambia tafuta pesa kwasababu anauza
Tunazungumzia Pisi Kali Mzee,hakuna Pisi iliyonyooka vzr na ikapenda shida zako
 
Back
Top Bottom