Kama vile tajiri kula dagaa kwa hamu au masharti ya mganga[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sema Nini taikon nikuulize swali hili,
Je,ni kwanini ukienda sehemu kuaproach demu,ukakuta wapo kikundi wawili au watatu Yule mbaya ndiye wa Kwanza kukukataa?
Kuna weekend moja, nikatimba club moja matata kupiga vyombo,baada ya vyombo kukolea nikatamani pisi
Basi wakati natoka toilet Kuna meza niliona Ina pisi nne zimetulia zimeagiza bia hizi local,nikataka kujumuika nao
Lakini Cha ajabu pisi moja iliinuka na kuniwakia, eti umekuja na sisi, Kwanza hatutaki wanaume,na shombo zingine kibao,
Huku wenzie wakimlaumu aache nikaondoka
Ajabu Yule demu ni mbovu kuliko wote, huwezi hata kutambulisha washikaji,
Ukienda chimbo lolote la mademu Basi pisi mbovu ndiyo yenye maringo hata kupatana wanataka hela nyingi kuliko wale wakali kwanini.
Kanisani kwangu nakosali Kuna manzi amenichukia bila sababu , nikasema labda ni wivu kwa wife ngoja nikatongoze ,
Japo kapewa Cha kukalia tu na siyo kumkaribisha mwingine,Cha ajabu pisi ilikubali Ila kwa masharti.
Eti Kodi ya anakokaa na gharama kibao nilipe Mimi wakati body appearance yake... MUNGU nisamehe tu.
Wanaringia Nini Hawa ?
Wakati Kuna pisi hazina mambo mengi ni Kali,Kali, Kali, Kali, Kali balaaa