Unapowaambia wanaume watafute pesa, elewa wanatafuta pesa kwa ajili ya wanawake wa namna hii

Unapowaambia wanaume watafute pesa, elewa wanatafuta pesa kwa ajili ya wanawake wa namna hii

Siwezi kukuelewa kweli

Na hao wanaume wanaolalamika kuhusu pesa ni masikini na hawana upendo

Mwanaume akikupenda atizizami sura wala tako,

Hao masikini ndo hivyo wanatafuta pesa hili wapatehizo pesi nyenye[emoji23],,,,,,,,,,,wakichunwa huko wanaanza kulia

"Kama umempenda mwanamke haijalishi yupo vipi,bali mbadilishe awe vile unataka weww"

Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanaume aliyekupenda kama ulivyo hawezi kuhangaika kukubadilisha.
 
Tatizo wamawanyanyasa wanaume kila mara.
Ooh! Tafuta pesa sijui blah!blah!

Sasa unamuuliza nikizipata hizo pesa unafikiri nitakuja kwako anabaki amebung'aa
Kuna kidemu hakina takroo, sura kawaida kinapiga vizinga nakikaziaga sina hela kinajifanya kumaindi " we kila siku hela huna " namwambia mama wenye magari hao wanapita nendaa ila haendii anarud huku huku kwa masikini mwenzie kugawana buku buku
 
Nisamehe Bhana!

Tuandaeni watoto wakike vizuri maana huko tuendako sio lelemama.

Amu unaniambia nitafute pesa wakati shule umekimbia, Trako huna, Sura hauna, Chapaa hauna, hivi kweli hata nikipata pesa utaambulia chochote kweli😀😀😀
Kwenye hili wala usiwe na wasiwasi mana huko mbele wanaume wenye hela watakua wachache ukilinganisha na wanawake wenye hela unaona saizi vijana wanafanya nini na wadada wanafanya nini .Mimi kwa upande wangu nakuonea huruma kizazi cha wanaume yaani unakaa na kuandika unatafuta hela ili utumie na wanawake. hayo ni matokeo tu na mwanamke ambae ana idea za kutumia hela ambazo hajazitolea jasho ni malaya pekeake ila mwanamke anaejielewa atamshauri mwenzake kuongeza hela zaidi na zaidi na zaidi na zaidi
 
Kuna kidemu hakina takroo, sura kawaida kinapiga vizinga nakikaziaga sina hela kinajifanya kumaindi " we kila siku hela huna " namwambia mama wenye magari hao wanapita nendaa ila haendii anarud huku huku kwa masikini mwenzie kugawana buku buku
Tafuta hela wewe, mwanaume gani huna mbele wala nyuma.

Huyo mdada sasa anaekuambia huna mbele wala nyuma [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Screenshot_20220511_142121.jpg
 
Kwenye hili wala usiwe na wasiwasi mana huko mbele wanaume wenye hela watakua wachache ukilinganisha na wanawake wenye hela unaona saizi vijana wanafanya nini na wadada wanafanya nini .Mimi kwa upande wangu nakuonea huruma kizazi cha wanaume yaani unakaa na kuandika unatafuta hela ili utumie na wanawake. hayo ni matokeo tu na mwanamke ambae ana idea za kutumia hela ambazo hajazitolea jasho ni malaya pekeake ila mwanamke anaejielewa atamshauri mwenzake kuongeza hela zaidi na zaidi na zaidi na zaidi
Wanawake hawajaumbwa kuja kutafuta pesa ila kuja kuzitumia pesa za wanaume na tena Huyo mwanamke awe ni Pisi Kali

Sourc:Trust me Bro
 
Kwema Wakuu!

Siku hizi kila mwanamke anakuambia tafuta pesa, kama huna pesa hunipati, basi unakatazama kademu kenyewe unabaki kusema Shiiiii! Kimoyo moyo.

Badala kademu kamshukuru Mungu tusio na pesa tupo wengi ndio maana nako kanapata nafasi ya kuonekana koo! Kanajikuta ati kanakubaragaza kuwa huna pesa, sijui tafuta pesa.

Hivi Kwa akili ya kawaida mtu akiwa na pesa atamtongoza mwanamke asiye na mbele wala nyuma?
Hata akimfuata anafikiri atampa hizo hela Kwa jinsi alivyo.

Mwanamke hana Traako wala Double kibini,
Mwanamke huna Sura yenye ushirikiano
Mwanamke shule ulikimbia madarasa yako hayatoshi,
Mwanamke umetoka familia Masikini
Bado uwaambie wanaume watafute pesa, unaumwa wewe!

Hilo ni kujiombea mabaya, elewa wanaume wakiwa na pesa wengi wao wewe hakuna atakayekutaka,
Na kama watakutaka ni Kwa ajili ya matumizi ya dharura Kama vile Tajiri Kula Dagaa Kauzu Kwa hamu tuu au Kwa masharti ya mganga.

Wanaume wengi wanatafuta pesa Kwa ajili ya kuopoa pisi Kali za Moto ambazo huenda hata nchini Tanzania zipo chache,
Wengi tupenda watoto shombeshombe wenye miili laini yenye walau nyama nyama.

Vitoto Rangi mtelezo au vyeupeupe na Kam weusi basi uwe mtelezo.

Hiyo ndio ndoto za wanaume wakiwa wanahangaika kutafuta pesa.
Usije ukadhani wanatafuta pesa Kwa ajili yako ambaye hueleweki.

Huwaga nawashauri Dada zangu hasa Wale wenye Sura ngumu na wasio na Hifadhi ya kutosha ya taifa, wazidi kuwaombea wanaume Hali ngumu kadiri wapatavyo nafasi.

Ombea wanaume wasipate pesa
Ombe wanaume michongo Yao isitiki,
Ombea wanaume wazidi kuteseka ili heshima na thamani yenu iendelee kuwapo.

Fanya kazi upate hela ili nawe upate Mwanaume umtakaye,

Sura huna
Elimu huna
Pesa huna
KAZI huna
Msambwanda wa kuzugia huna,
Bado utake pesa, unaumwa wewe!

Hata wanaume wapate pesa hutapata hizo pesa kama haupo kwenye viwango, elewa kuwa Duniani kuna Fungu la kukosa.

Hata Kwa wale Malaya wanaojiuza bado wapo wenye kulipwa pesa nyingi Kwa mchezo, na wapo wakulipwa mpaka elfu mbili Kwa mchezo.

Msije sema Taikon anadharau Bali najaribu kuelezea hali halisi iliyoko mtaani.

Ninyi endeleeni kuwahamasisha wanaume Watafute hela Ila juweni kuwa mnajichimbia kaburi Lenu la halaiki.

Muhimu, tuwasaidie binti zetu kupata elimu na kuwafundisha namna ya kupata pesa maana Huko tuendako wanawake wengi watakuwa kwenye Mateso makali,
Mwanamke kama hana pesa nyakati zijazo atateseka Sana..

Taikon amemaliza.

Kweli 99%. Mwanamume Kama huamini omba namba then Subiria sms ya pili au ya tatu.
 
Kama vile tajiri kula dagaa kwa hamu au masharti ya mganga[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sema Nini taikon nikuulize swali hili,

Je,ni kwanini ukienda sehemu kuaproach demu,ukakuta wapo kikundi wawili au watatu Yule mbaya ndiye wa Kwanza kukukataa?

Kuna weekend moja, nikatimba club moja matata kupiga vyombo,baada ya vyombo kukolea nikatamani pisi

Basi wakati natoka toilet Kuna meza niliona Ina pisi nne zimetulia zimeagiza bia hizi local,nikataka kujumuika nao

Lakini Cha ajabu pisi moja iliinuka na kuniwakia, eti umekuja na sisi, Kwanza hatutaki wanaume,na shombo zingine kibao,

Huku wenzie wakimlaumu aache nikaondoka

Ajabu Yule demu ni mbovu kuliko wote, huwezi hata kutambulisha washikaji,

Ukienda chimbo lolote la mademu Basi pisi mbovu ndiyo yenye maringo hata kupatana wanataka hela nyingi kuliko wale wakali kwanini.

Kanisani kwangu nakosali Kuna manzi amenichukia bila sababu , nikasema labda ni wivu kwa wife ngoja nikatongoze ,

Japo kapewa Cha kukalia tu na siyo kumkaribisha mwingine,Cha ajabu pisi ilikubali Ila kwa masharti.

Eti Kodi ya anakokaa na gharama kibao nilipe Mimi wakati body appearance yake... MUNGU nisamehe tu.

Wanaringia Nini Hawa ?

Wakati Kuna pisi hazina mambo mengi ni Kali,Kali, Kali, Kali, Kali balaaa
 
Hizi terminology nyingine ni mpya kwangu.
Mwanamke Hana traako
Mwanamke Hana double cabin (nadhani maziwa makubwa)
Mwanamke sura haina ushirikiano (nadhani sura mbaya)


Duh. Wasichana someni mpate kazi
Wasomi ni wengi zaidi kuliko nafasi za kazi zilizopo.
 
Back
Top Bottom