mawardat
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 23,965
- 131,949
Ee ana alama[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji4][emoji4][emoji4]
Kaniweka Alama
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ee ana alama[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji4][emoji4][emoji4]
Kaniweka Alama
Utamu wakoAnazo za kutosha na mie ni pisi mbovu kishenzi,hadi najiuliza kavutiwa na nini kwangu??
Wanaume bana,poleni
TAFUTENI PESA,
Sent using Jamii Forums mobile app
Na wewe hiii unajfanya kwa mwanaume ama unataka kuwa passiveKama umempenda mwanamke haijalishi yupo vipi,bali mbadilishe awe vile unataka weww"
Hahhahahaha sio dhambi bhana
Mwanaume aliyekupenda kama ulivyo hawezi kuhangaika kukubadilisha.Siwezi kukuelewa kweli
Na hao wanaume wanaolalamika kuhusu pesa ni masikini na hawana upendo
Mwanaume akikupenda atizizami sura wala tako,
Hao masikini ndo hivyo wanatafuta pesa hili wapatehizo pesi nyenye[emoji23],,,,,,,,,,,wakichunwa huko wanaanza kulia
"Kama umempenda mwanamke haijalishi yupo vipi,bali mbadilishe awe vile unataka weww"
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna kidemu hakina takroo, sura kawaida kinapiga vizinga nakikaziaga sina hela kinajifanya kumaindi " we kila siku hela huna " namwambia mama wenye magari hao wanapita nendaa ila haendii anarud huku huku kwa masikini mwenzie kugawana buku bukuTatizo wamawanyanyasa wanaume kila mara.
Ooh! Tafuta pesa sijui blah!blah!
Sasa unamuuliza nikizipata hizo pesa unafikiri nitakuja kwako anabaki amebung'aa
Kwenye hili wala usiwe na wasiwasi mana huko mbele wanaume wenye hela watakua wachache ukilinganisha na wanawake wenye hela unaona saizi vijana wanafanya nini na wadada wanafanya nini .Mimi kwa upande wangu nakuonea huruma kizazi cha wanaume yaani unakaa na kuandika unatafuta hela ili utumie na wanawake. hayo ni matokeo tu na mwanamke ambae ana idea za kutumia hela ambazo hajazitolea jasho ni malaya pekeake ila mwanamke anaejielewa atamshauri mwenzake kuongeza hela zaidi na zaidi na zaidi na zaidiNisamehe Bhana!
Tuandaeni watoto wakike vizuri maana huko tuendako sio lelemama.
Amu unaniambia nitafute pesa wakati shule umekimbia, Trako huna, Sura hauna, Chapaa hauna, hivi kweli hata nikipata pesa utaambulia chochote kweli😀😀😀
Tafuta hela wewe, mwanaume gani huna mbele wala nyuma.Kuna kidemu hakina takroo, sura kawaida kinapiga vizinga nakikaziaga sina hela kinajifanya kumaindi " we kila siku hela huna " namwambia mama wenye magari hao wanapita nendaa ila haendii anarud huku huku kwa masikini mwenzie kugawana buku buku
Tafuta hela weweHuweki picha
Mbona Yuko flat sana aiseeTafuta hela weweView attachment 2220451
Wanawake hawajaumbwa kuja kutafuta pesa ila kuja kuzitumia pesa za wanaume na tena Huyo mwanamke awe ni Pisi KaliKwenye hili wala usiwe na wasiwasi mana huko mbele wanaume wenye hela watakua wachache ukilinganisha na wanawake wenye hela unaona saizi vijana wanafanya nini na wadada wanafanya nini .Mimi kwa upande wangu nakuonea huruma kizazi cha wanaume yaani unakaa na kuandika unatafuta hela ili utumie na wanawake. hayo ni matokeo tu na mwanamke ambae ana idea za kutumia hela ambazo hajazitolea jasho ni malaya pekeake ila mwanamke anaejielewa atamshauri mwenzake kuongeza hela zaidi na zaidi na zaidi na zaidi
Kwema Wakuu!
Siku hizi kila mwanamke anakuambia tafuta pesa, kama huna pesa hunipati, basi unakatazama kademu kenyewe unabaki kusema Shiiiii! Kimoyo moyo.
Badala kademu kamshukuru Mungu tusio na pesa tupo wengi ndio maana nako kanapata nafasi ya kuonekana koo! Kanajikuta ati kanakubaragaza kuwa huna pesa, sijui tafuta pesa.
Hivi Kwa akili ya kawaida mtu akiwa na pesa atamtongoza mwanamke asiye na mbele wala nyuma?
Hata akimfuata anafikiri atampa hizo hela Kwa jinsi alivyo.
Mwanamke hana Traako wala Double kibini,
Mwanamke huna Sura yenye ushirikiano
Mwanamke shule ulikimbia madarasa yako hayatoshi,
Mwanamke umetoka familia Masikini
Bado uwaambie wanaume watafute pesa, unaumwa wewe!
Hilo ni kujiombea mabaya, elewa wanaume wakiwa na pesa wengi wao wewe hakuna atakayekutaka,
Na kama watakutaka ni Kwa ajili ya matumizi ya dharura Kama vile Tajiri Kula Dagaa Kauzu Kwa hamu tuu au Kwa masharti ya mganga.
Wanaume wengi wanatafuta pesa Kwa ajili ya kuopoa pisi Kali za Moto ambazo huenda hata nchini Tanzania zipo chache,
Wengi tupenda watoto shombeshombe wenye miili laini yenye walau nyama nyama.
Vitoto Rangi mtelezo au vyeupeupe na Kam weusi basi uwe mtelezo.
Hiyo ndio ndoto za wanaume wakiwa wanahangaika kutafuta pesa.
Usije ukadhani wanatafuta pesa Kwa ajili yako ambaye hueleweki.
Huwaga nawashauri Dada zangu hasa Wale wenye Sura ngumu na wasio na Hifadhi ya kutosha ya taifa, wazidi kuwaombea wanaume Hali ngumu kadiri wapatavyo nafasi.
Ombea wanaume wasipate pesa
Ombe wanaume michongo Yao isitiki,
Ombea wanaume wazidi kuteseka ili heshima na thamani yenu iendelee kuwapo.
Fanya kazi upate hela ili nawe upate Mwanaume umtakaye,
Sura huna
Elimu huna
Pesa huna
KAZI huna
Msambwanda wa kuzugia huna,
Bado utake pesa, unaumwa wewe!
Hata wanaume wapate pesa hutapata hizo pesa kama haupo kwenye viwango, elewa kuwa Duniani kuna Fungu la kukosa.
Hata Kwa wale Malaya wanaojiuza bado wapo wenye kulipwa pesa nyingi Kwa mchezo, na wapo wakulipwa mpaka elfu mbili Kwa mchezo.
Msije sema Taikon anadharau Bali najaribu kuelezea hali halisi iliyoko mtaani.
Ninyi endeleeni kuwahamasisha wanaume Watafute hela Ila juweni kuwa mnajichimbia kaburi Lenu la halaiki.
Muhimu, tuwasaidie binti zetu kupata elimu na kuwafundisha namna ya kupata pesa maana Huko tuendako wanawake wengi watakuwa kwenye Mateso makali,
Mwanamke kama hana pesa nyakati zijazo atateseka Sana..
Taikon amemaliza.
Endelea kujidanganya mkuu
Wasomi ni wengi zaidi kuliko nafasi za kazi zilizopo.Hizi terminology nyingine ni mpya kwangu.
Mwanamke Hana traako
Mwanamke Hana double cabin (nadhani maziwa makubwa)
Mwanamke sura haina ushirikiano (nadhani sura mbaya)
Duh. Wasichana someni mpate kazi