Unapowaambia wanaume watafute pesa, elewa wanatafuta pesa kwa ajili ya wanawake wa namna hii

Unapowaambia wanaume watafute pesa, elewa wanatafuta pesa kwa ajili ya wanawake wa namna hii

Mwanaume akikupenda atizizami sura wala tako,
Sasa bibie mwanaume atakupendaje bila kuvutiwa na kitu ulicho nacho katika maumbile yako ? Yaani sisi huwa tunapenda pale ambapo tumevutiwa na kitu aidha mwendo, sura, umbo yaani nyama nyama,nasaba, tabia.
 
Bila wanawake kuwepo duniani wanaume tusingehangaika kusaka pesa
 
Back
Top Bottom