Unapowaambia wanaume watafute pesa, elewa wanatafuta pesa kwa ajili ya wanawake wa namna hii

Unapowaambia wanaume watafute pesa, elewa wanatafuta pesa kwa ajili ya wanawake wa namna hii

Huwezi kunielewa Kwa vile wewe ni mwanamke, ungekuwa mwanaume ungenielewa.

Mwanaume hana nguvu Kwa pisi Kali wewe tatizo hujui nikisemacho,

Muombee mumeo apate pesa ili ujue tabia zake halisi. Wengi wanaume tunaigiza tukiwa hatuna kipato.

Masikini ndio tunaongoza Kwa Unafiki.
Siku tukipata pesa ndio tunakuwa Real[emoji3][emoji3]
Daaah,kaka umetisha
 
Kila mtu anatakiwa awajibike kwa maisha yake hakuna mtu aliletwa duniani ili akupe hela uwe na maisha mazuri hela ni za mwenye hela.Hela kama sio zako sio zako na huwezi laumu kama mtu hajakupa.Mwanamke anaejielewa hawezi tegemea hela za baba wala kaka wala mume wala boyfriend be responsible for your own financial freedom.
Hizi ni FSW type dicussion kwamba watu watafute hela akitafuta zitakua zako. bado zitakua zake.Nimeshuhudia wanawake wameolewa na wanaume wenye hela na hawajawah ona hiyo hela na sioni kama ni shida.Unauza utu kisa hela
Kuna mama mmoja kaolewa na mtu mwenye hela lakini sijawahi muona anaendesha gari za mumewe. Kutwa kucha kwenye daladala. Ama kweli pesa za mume, kaka, baba sio zako. Tutafute za kwetu. Mwingine kahangaika mahakamani kudai mgao wa mali baada ya talaka, miaka 5 kaangukia pua. Sasa hivi yuko kwa ki boy friend kilichokuwa kinamdanganya ku fight ili apate mgao.
 
Wape vidonge vyao[emoji108][emoji108][emoji108][emoji108]Na Mimi nawaongezea;Wanaume wanataka wanawake wachakarikaji Babu wee[emoji108][emoji108][emoji108]Anajua akitoa pesa ya umeme,mwanamke atatoa ya maji.Mambo kusaidiana ndo yanakuwa [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91].Hata wakati wa kuchakata mbususu,mwanaume anakuwa na utulivu,goli 3 Ni kawaida.
Message sent and delivered
 
[emoji3][emoji3][emoji3]

Kujipa Moyo ni moja ya nguzo muhimu kwenye maisha.

Ukiona mwanamke ni pisi mbovu Kama Mawardat[emoji4][emoji4] alafu mumeo anapesa anakung'ang'ania ujue unanyota ya Pesa.

Yaani wewe ndio mzizi Mkuu wa pesa zake kiroho. Hiyo ipo.
Na wanaume tukiwa na wanawake wabovu Kama nyie mkawa na. Nyota Kali huwa tunawanyenyekea Kama miungu hata mfanye kosa gani hatuwafukuzi[emoji3]

Ila elewa Jambo lilelile mwanaume mbele ya pisikàli ni Sawa na mbwa mbele ya chatu
Hii kitu ipo aisee na ni kweli
 
Huko si ndio wanawake waliojipambanua kuwa wanataka wanaume wenye pesa waliko

Ninyi huku mnaigiza,
Hata huku mtaani iko hivyo,
Lazima uwe na kitu ambacho mwanaume akikuona atashawishika kutoa mapesa mengi. Mifano ipo mingi
Ni kweli penyewe
 
Mimi nikifikia kiwango cha umilionea nahama tz nahamia u.s.a na pisi kali ya rwanda
 
Sasa Mimi nichukue mwanamke mwenye sura ya baba yake na Hana chura, si nitamtumia siku Moja au wiki TU alafu namuacha
 
Siwezi kukuelewa kweli

Na hao wanaume wanaolalamika kuhusu pesa ni masikini na hawana upendo

Mwanaume akikupenda atizizami sura wala tako,

Hao masikini ndo hivyo wanatafuta pesa hili wapatehizo pesi nyenye[emoji23],,,,,,,,,,,wakichunwa huko wanaanza kulia

",bali mbadilishe awe vile unataka weww"

Sent using Jamii Forums mobile app
Mfano mimi napenda big round booty nafanyaje na kimbaumbau wangu au unampeleka china.
 
Kwema Wakuu!

Siku hizi kila mwanamke anakuambia tafuta pesa, kama huna pesa hunipati, basi unakatazama kademu kenyewe unabaki kusema Shiiiii! Kimoyo moyo.

Badala kademu kamshukuru Mungu tusio na pesa tupo wengi ndio maana nako kanapata nafasi ya kuonekana koo! Kanajikuta ati kanakubaragaza kuwa huna pesa, sijui tafuta pesa.

Hivi Kwa akili ya kawaida mtu akiwa na pesa atamtongoza mwanamke asiye na mbele wala nyuma?
Hata akimfuata anafikiri atampa hizo hela Kwa jinsi alivyo.

Mwanamke hana Traako wala Double kibini,
Mwanamke huna Sura yenye ushirikiano
Mwanamke shule ulikimbia madarasa yako hayatoshi,
Mwanamke umetoka familia Masikini
Bado uwaambie wanaume watafute pesa, unaumwa wewe!

Hilo ni kujiombea mabaya, elewa wanaume wakiwa na pesa wengi wao wewe hakuna atakayekutaka,
Na kama watakutaka ni Kwa ajili ya matumizi ya dharura Kama vile Tajiri Kula Dagaa Kauzu Kwa hamu tuu au Kwa masharti ya mganga.

Wanaume wengi wanatafuta pesa Kwa ajili ya kuopoa pisi Kali za Moto ambazo huenda hata nchini Tanzania zipo chache,
Wengi tupenda watoto shombeshombe wenye miili laini yenye walau nyama nyama.

Vitoto Rangi mtelezo au vyeupeupe na Kam weusi basi uwe mtelezo.

Hiyo ndio ndoto za wanaume wakiwa wanahangaika kutafuta pesa.
Usije ukadhani wanatafuta pesa Kwa ajili yako ambaye hueleweki.

Huwaga nawashauri Dada zangu hasa Wale wenye Sura ngumu na wasio na Hifadhi ya kutosha ya taifa, wazidi kuwaombea wanaume Hali ngumu kadiri wapatavyo nafasi.

Ombea wanaume wasipate pesa
Ombe wanaume michongo Yao isitiki,
Ombea wanaume wazidi kuteseka ili heshima na thamani yenu iendelee kuwapo.

Fanya kazi upate hela ili nawe upate Mwanaume umtakaye,

Sura huna
Elimu huna
Pesa huna
KAZI huna
Msambwanda wa kuzugia huna,
Bado utake pesa, unaumwa wewe!

Hata wanaume wapate pesa hutapata hizo pesa kama haupo kwenye viwango, elewa kuwa Duniani kuna Fungu la kukosa.

Hata Kwa wale Malaya wanaojiuza bado wapo wenye kulipwa pesa nyingi Kwa mchezo, na wapo wakulipwa mpaka elfu mbili Kwa mchezo.

Msije sema Taikon anadharau Bali najaribu kuelezea hali halisi iliyoko mtaani.

Ninyi endeleeni kuwahamasisha wanaume Watafute hela Ila juweni kuwa mnajichimbia kaburi Lenu la halaiki.

Muhimu, tuwasaidie binti zetu kupata elimu na kuwafundisha namna ya kupata pesa maana Huko tuendako wanawake wengi watakuwa kwenye Mateso makali,
Mwanamke kama hana pesa nyakati zijazo atateseka Sana..

Taikon amemaliza.
True..majuzi hapa kuna mtu nataka mtoa anauliza una pesa? Nilicheka ni ka mtu kabovu, badae anaonesha kunidharau anasema huwezi enda na mm sehemu kama hauna pesa , nikauliza pesa ya nini sasa unataka jua kiwango nilichonacho ? nikamwambia sisi pesa au mahali pa kwenda huwa tunaangalia na mtu alivo , wewe ni wa kawaida hata sshemu nakupeleka ni chips bei ya kawaida mtaani kila kitu normal , siwezi kwenda na wewe sehemu chips ni elfu nne huna thamani hio ila kuna mtu anakuzidi kila kitu yeye ndo naweza kwenda nae hata mbuga za wanyama and not you
 
True..majuzi hapa kuna mtu nataka mtoa anauliza una pesa? Nilicheka ni ka mtu kabovu, badae anaonesha kunidharau anasema huwezi enda na mm sehemu kama hauna pesa , nikauliza pesa ya nini sasa unataka jua kiwango nilichonacho ? nikamwambia sisi pesa au mahali pa kwenda huwa tunaangalia na mtu alivo , wewe ni wa kawaida hata sshemu nakupeleka ni chips bei ya kawaida mtaani kila kitu normal , siwezi kwenda na wewe sehemu chips ni elfu nne huna thamani hio ila kuna mtu anakuzidi kila kitu yeye ndo naweza kwenda nae hata mbuga za wanyama and not you


😀😀😀🏃🏃🏃
 
Kwema Wakuu!

Siku hizi kila mwanamke anakuambia tafuta pesa, kama huna pesa hunipati, basi unakatazama kademu kenyewe unabaki kusema Shiiiii! Kimoyo moyo.

Badala kademu kamshukuru Mungu tusio na pesa tupo wengi ndio maana nako kanapata nafasi ya kuonekana koo! Kanajikuta ati kanakubaragaza kuwa huna pesa, sijui tafuta pesa.

Hivi Kwa akili ya kawaida mtu akiwa na pesa atamtongoza mwanamke asiye na mbele wala nyuma?
Hata akimfuata anafikiri atampa hizo hela Kwa jinsi alivyo.

Mwanamke hana Traako wala Double kibini,
Mwanamke huna Sura yenye ushirikiano
Mwanamke shule ulikimbia madarasa yako hayatoshi,
Mwanamke umetoka familia Masikini
Bado uwaambie wanaume watafute pesa, unaumwa wewe!

Hilo ni kujiombea mabaya, elewa wanaume wakiwa na pesa wengi wao wewe hakuna atakayekutaka,
Na kama watakutaka ni Kwa ajili ya matumizi ya dharura Kama vile Tajiri Kula Dagaa Kauzu Kwa hamu tuu au Kwa masharti ya mganga.

Wanaume wengi wanatafuta pesa Kwa ajili ya kuopoa pisi Kali za Moto ambazo huenda hata nchini Tanzania zipo chache,
Wengi tupenda watoto shombeshombe wenye miili laini yenye walau nyama nyama.

Vitoto Rangi mtelezo au vyeupeupe na Kam weusi basi uwe mtelezo.

Hiyo ndio ndoto za wanaume wakiwa wanahangaika kutafuta pesa.
Usije ukadhani wanatafuta pesa Kwa ajili yako ambaye hueleweki.

Huwaga nawashauri Dada zangu hasa Wale wenye Sura ngumu na wasio na Hifadhi ya kutosha ya taifa, wazidi kuwaombea wanaume Hali ngumu kadiri wapatavyo nafasi.

Ombea wanaume wasipate pesa
Ombe wanaume michongo Yao isitiki,
Ombea wanaume wazidi kuteseka ili heshima na thamani yenu iendelee kuwapo.

Fanya kazi upate hela ili nawe upate Mwanaume umtakaye,

Sura huna
Elimu huna
Pesa huna
KAZI huna
Msambwanda wa kuzugia huna,
Bado utake pesa, unaumwa wewe!

Hata wanaume wapate pesa hutapata hizo pesa kama haupo kwenye viwango, elewa kuwa Duniani kuna Fungu la kukosa.

Hata Kwa wale Malaya wanaojiuza bado wapo wenye kulipwa pesa nyingi Kwa mchezo, na wapo wakulipwa mpaka elfu mbili Kwa mchezo.

Msije sema Taikon anadharau Bali najaribu kuelezea hali halisi iliyoko mtaani.

Ninyi endeleeni kuwahamasisha wanaume Watafute hela Ila juweni kuwa mnajichimbia kaburi Lenu la halaiki.

Muhimu, tuwasaidie binti zetu kupata elimu na kuwafundisha namna ya kupata pesa maana Huko tuendako wanawake wengi watakuwa kwenye Mateso makali,
Mwanamke kama hana pesa nyakati zijazo atateseka Sana..

Taikon amemaliza.
Ujengewe mnara kabisaaa
 
Back
Top Bottom