Mzee Wa Kazi Chafu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2022
- 2,245
- 4,966
Jambo Kama Hulielewi Omba Ueleweshwe.Salamu kwenu
Huwa siwaelewi watu wanaposema wanafunga wakati kila siku jioni wanakula.
Ninawafahamu watu wengi tu wanaofunga mpaka siku 21 kwa kunywa maji tu na kila siku wanaendelea na shughuli zao.
Mimi mara nyingi tu naenda mpaka siku saba bila kula na kazi nafanya kila siku.
Nadhani wanapaswa kutumia jina jingine lakini sio kufunga.
yaani siyo kula tu majamaa yanakula mpaka yananyoosha miguu na usiku kuna kitu inaitwa dakuSalamu kwenu
Huwa siwaelewi watu wanaposema wanafunga wakati kila siku jioni wanakula.
Ninawafahamu watu wengi tu wanaofunga mpaka siku 21 kwa kunywa maji tu na kila siku wanaendelea na shughuli zao.
Mimi mara nyingi tu naenda mpaka siku saba bila kula na kazi nafanya kila siku.
Nadhani wanapaswa kutumia jina jingine lakini sio kufunga.
Wakifunga waislam tabu kweli walivyoanza wengine kwaresma nyuzi kama hizi hazikuepoSalamu kwenu
Huwa siwaelewi watu wanaposema wanafunga wakati kila siku jioni wanakula.
Ninawafahamu watu wengi tu wanaofunga mpaka siku 21 kwa kunywa maji tu na kila siku wanaendelea na shughuli zao.
Mimi mara nyingi tu naenda mpaka siku saba bila kula na kazi nafanya kila siku.
Nadhani wanapaswa kutumia jina jingine lakini sio kufunga.
Umepiga kwenye mshonoSalamu kwenu
Huwa siwaelewi watu wanaposema wanafunga wakati kila siku jioni wanakula.
Ninawafahamu watu wengi tu wanaofunga mpaka siku 21 kwa kunywa maji tu na kila siku wanaendelea na shughuli zao.
Mimi mara nyingi tu naenda mpaka siku saba bila kula na kazi nafanya kila siku.
Nadhani wanapaswa kutumia jina jingine lakini sio kufunga.
Mtu anatakiwa kuacha maovu nyakati zote hili lipo wazi.Shekh, ukila huwezi kujizuia kufanya maovu.
Maswali yako mengine ungeyaelekeza kwenye Serikali ya Mapinduzi ya ZanzibarHiyo serikali inaongozwa na waumini husika hivyo waliofanya hivyo ni waumini walio madarakani
π€ unaweza kuwa na point.Acha kujibu mijitu ya hivi mana hakuna linalo wa husu zaidi ya chuki zao.
Wenyewe Wakisema wamefunga kwa mujibu wao hatuwakatalii.Vipi kwa ambao muda wa usiku hawali wala hawanywi bali wanalala tu hadi asubuhi ndio wanakunywa chai, na hao wamefunga?
Unakula jioni na asubuhi unakula daku...Salamu kwenu
Huwa siwaelewi watu wanaposema wanafunga wakati kila siku jioni wanakula.
Ninawafahamu watu wengi tu wanaofunga mpaka siku 21 kwa kunywa maji tu na kila siku wanaendelea na shughuli zao.
Mimi mara nyingi tu naenda mpaka siku saba bila kula na kazi nafanya kila siku.
Nadhani wanapaswa kutumia jina jingine lakini sio kufunga.
Hii mimi napinga mzee.Kwanini ule mbele ya mwenzako na unajua amefunga ?
Kama zanzibar waislamu ni wengi basi hakuna haja ya kuweka hizo sheria kwa sababu hata usipozuia watu kula wwlaji watakuwa ni wachache na hadhi ya mwezi utabaki pale pale,na watu watajua kwwmba ni ramadhani kwa sababu harakati za watu kula zimepungua.Mathalani nchi kama Zanzibar ni sahihi kufanya maamuzi yale sababu wao kule zaidi ya asilimia 80 ni Waislamu hata huku Bara pia.
Ni kwanini wanaofunga mchana wanapigapiga sana kelele kuhusu kufunga kwao tofauti na wale wanaofunga usiku?Wenyewe Wakisema wamefunga kwa mujibu wao hatuwakatalii.
Na wenyewe wakisema hawajafunga kwa mujibu wao hatuwakatalii pia.
Kila watu wqna maana yao ya kufunga(kujizuia).
Poa.Hii mimi napinga mzee.
Kula ni kitendo cha halali katika dini na kufunga kitendo cha ibada pia.
Ibada yako haiharamishi halali ya mtu mwingine.
Kufunga kwqko hakuharamishi watu wengine kula ukiwa unawaona ikiwa tu watu hao hawalazimiki kufunga.
Kuna waislamu hufunga sunna za j3 na alhamisi mbona wanaishi na watu wanaokula mchana siku hizo ?
Kama zanzibar waislamu ni wengi basi hakuna haja ya kuweka hizo sheria kwa sababu hata usipozuia watu kula wwlaji watakuwa ni wachache na hadhi ya mwezi utabaki pale pale,na watu watajua kwwmba ni ramadhani kwa sababu harakati za watu kula zimepungua.
Sasa Nchi walaji wa mchana ni 2% kuna haja gani ya kuzia wakati hawaathiri chochote katika taswira ya jamii mwezi wa ramadhani ?
Kama ingekuwa hilo jambo linamata basi wangezuia nchi kama tanganyika kwa sababu tanganyika ni fifte fifte so ukizuwia watu kula unaona hasa kweli watu hawali,lakini ndio haimati kuzuia watu kula mchana.
πππππππ¨π¨π¨π¨π¨π¨π¨π¨ππWakifunga waislam tabu kweli walivyoanza wengine kwaresma nyuzi kama hizi hazikuepo
Kweni hizi nyuzi zinafunguliwa na Waisilamu? Think again.Wakifunga waislam tabu kweli walivyoanza wengine kwaresma nyuzi kama hizi hazikuepo
Tuwaulize wenyewe kwa nini wanapigapiga kelele..Ni kwanini wanaofunga mchana wanapigapiga sana kelele kuhusu kufunga kwao tofauti na wale wanaofunga usiku?
Umeamka asubuhi asubuhi ujakosha hata sehemu zako za siri chafu unadandia wanaume.
Binti kwa tabia hizo utaishia kuchezewa mpaka siku ya kufa kwako.
Na wengine wanaomba mpaka kwa Maria sio Yesu tu.Wewe unaabudu mungu mwenye nafsi 3, unaomba kwa jina la Yesu, na unaamini mungu wako kakuumba kwa mfano wake.
Wao wanaamini Mungu wao ni mmoja tu hajazaa wala hajazaliwa na hakuna anae fanana nae hata mmoja, na kwamba wao wanaomba kwa jina la Mungu wao tu.
Je unafikiri wewe na wao mnaabudu kitu kimoja? Jibu ni hapana wala hamuabudu kitu kimoja, hivyo wewe fanya ibada kwa imani yako na wao wafanye ibada kwa imani yao.
Unajua kwa nini Mungu alimfanya mtume hajui kuandika wala kusoma kilichoandikwa?Leo akija mtu na kukwambia amepata maono kwamba uhuru wa Tanganyika ulikuwa June 5 mwaka 1957 na kwamba raisi wa kwanza wa Tanganyika alikuwa Rashidi Kawawa utakubali?
Hii ni exactly alichofanya Muhammad, zaidi miaka 600 baada ya Yesu yeye akaja na kuleta habari aliyoiita mpya (ingawa alisoma maandiko ambayo tayari yalikuwepo) na akaanzisha dini halafu kuna watu mpaka leo wanaamini stori yake kuliko yale maandiko ya wanafunzi wa Yesu waliokuwa mashahidi ya yote yaliyotokea.
Ni risk kubwa sana kuamini mtu mmoja against mamia ya mashahidi.