Abu Ubaidah Commando
JF-Expert Member
- Sep 8, 2016
- 7,591
- 6,946
Salamu kwenu
Huwa siwaelewi watu wanaposema wanafunga wakati kila siku jioni wanakula.
Ninawafahamu watu wengi tu wanaofunga mpaka siku 21 kwa kunywa maji tu na kila siku wanaendelea na shughuli zao.
Mimi mara nyingi tu naenda mpaka siku saba bila kula na kazi nafanya kila siku.
Nadhani wanapaswa kutumia jina jingine lakini sio kufunga.
Halafu mwenyewe hapo anajiona katoa bonge la point tena anarudia na kurudia, halafu wapo wengi sana wanaotumia hoja kama hii.Unajua kwa nini Mungu alimfanya mtume hajui kuandika wala kusoma kilichoandikwa?
Kuku outsmart na utopolo wako huu ulio uandika.
Jua likizama tunajiachia au sio?Kufunga kula kunywa kuvuta kufanya ngono kuanzia jua linapochomoza hadi linapozama.
Tume maana ya kufunga kwa wakristoSalamu kwenu
Huwa siwaelewi watu wanaposema wanafunga wakati kila siku jioni wanakula.
Ninawafahamu watu wengi tu wanaofunga mpaka siku 21 kwa kunywa maji tu na kila siku wanaendelea na shughuli zao.
Mimi mara nyingi tu naenda mpaka siku saba bila kula na kazi nafanya kila siku.
Nadhani wanapaswa kutumia jina jingine lakini sio kufunga.
Salamu kwenu
Huwa siwaelewi watu wanaposema wanafunga wakati kila siku jioni wanakula.
Ninawafahamu watu wengi tu wanaofunga mpaka siku 21 kwa kunywa maji tu na kila siku wanaendelea na shughuli zao.
Mimi mara nyingi tu naenda mpaka siku saba bila kula na kazi nafanya kila siku.
Nadhani wanapaswa kutumia jina jingine lakini sio kufunga.
Yote hayo hayakuhusu acha kusumbua kichwa chako kwa yasiokuhusu nduguNi kama vile mtu ana postipon kula asubuhi na mchana lakini milo hiyo inakuja kuliwa jioni wakati wa kufuturu! Achilia mbali daku!
So far ilikuwa mtu ale cha jioni tu lakini volume ya chakula ni kubwa kiasi cha kujumlisha cha asubuhi, mchana na jioni achilia mbali daku !
Yap!Jua likizama tunajiachia au sio?
Chuki uondosha maarifa.Ni kama vile mtu ana postipon kula asubuhi na mchana lakini milo hiyo inakuja kuliwa jioni wakati wa kufuturu! Achilia mbali daku!
So far ilikuwa mtu ale cha jioni tu lakini volume ya chakula ni kubwa kiasi cha kujumlisha cha asubuhi, mchana na jioni achilia mbali daku !
Ni kama vile mtu ana postipon kula asubuhi na mchana lakini milo hiyo inakuja kuliwa jioni wakati wa kufuturu! Achilia mbali daku!
So far ilikuwa mtu ale cha jioni tu lakini volume ya chakula ni kubwa kiasi cha kujumlisha cha asubuhi, mchana na jioni achilia mbali daku !
Mi nahamia huko jamaniYap!
Dhambi na mema hayana siku ,dhambi iliyokatazwa mwezi wa Ramadan haijahalalishwa mwezi mwengine au kinyume chake .Kwamba siku zingine hamjiepushi na uovu? Sasa swala tano zinakuwa za kazi gani kila siku.
Mnaita kufunga kimsingi kwasababu hamli mchana na ndio mimi nimetoa changamoto kwamba huko sio kufunga.
Halafu jinsi unavyojibu hapa inaonesha namna gani hauelewi maana ya kufunga.
Karibu yahbibi.Mi nahamia huko jamani
Chuki uondosha maarifa.
Makafiri wengi mna chuki na mfumo wa maisha ya waislamu.
Mnaona waislamu wana maisha poa sana mnayoyatamani ila ndo hivyo tena.
Unasema waislamu wanakusanya cha asubuhi mchana na jioni.
Hapa ume assume waislamu wote wanakipato cha kuwawezesha kumudu futari na vyote ulivyovitaja.
Vipi kwa wale wasiokuwa na uwezo?
Hakika makafiri mnashangaza sana.
Uislam ni dini ambayo imekamilika na haijaja Kama adhabu kwa mtu sie tunafunga Kama ibada na mafundisho kutoka kwa Mungu na mtume hivyo unavyo funga ww na hao wenzio nikikuuliza ni mafundisho kutoka wapi kwenye biblia hautanionyesha hicho kifungu Ila mmeamua tu kujipa adhabu za bila sababuSalamu kwenu
Huwa siwaelewi watu wanaposema wanafunga wakati kila siku jioni wanakula.
Ninawafahamu watu wengi tu wanaofunga mpaka siku 21 kwa kunywa maji tu na kila siku wanaendelea na shughuli zao.
Mimi mara nyingi tu naenda mpaka siku saba bila kula na kazi nafanya kila siku.
Nadhani wanapaswa kutumia jina jingine lakini sio kufunga.