Unasemaje kuwa umefunga wakati kila jioni unakula?

Unasemaje kuwa umefunga wakati kila jioni unakula?

Nalielewa vyema tatizo lako. Fanya ufunge siku saba. Utapata utulivu na hekima.
Teeh teeh.

Yani takataka wa kigalatia kama wewe unifundishe hekima mtu kama mimi.

Wewe hata maana ya hekima sidhai kama unaijua.

Na ungekuwa unaijua huu upuuzi wako wa kujifanya wauluza maswali ya ajabu ajabu wala usingeleta humu jukwaani.
 
Kwahiyo usiku uovu unaruhusiwa ila mambo ya dini ni utapeli kwa ujumla
Hili nimeshalitolea ufafanuzi huko nyuma soma utaelewa. Uovu mwezi wa Ramadhani ubaya wake unakuwa mkubwa zaidi ila hutakiwi kufanya uovu popote na muda wowote.
 
Kwahiyo usiku uovu unaruhusiwa ila mambo ya dini ni utapeli kwa ujumla
Umeelewa kweli? Dini mda wote zinakataza uovu, katika kipindi cha kufunga umewekwa msisitizo zaidi hata kwenye vitu ambavyo ni halali Kama chakula na maji, kuwa usitumie mpaka wakati husika, ni Suala la utii kwa muumbaji
 
Maskini ee shosti unaomba pesa ya pedi kijanja daah pole
Teeh teeh binti kilichonipata ni kukushugulikia mmwagika damu chafu kila mwezi kama wewe na kukukata kidomodomo chako kinachotema uchafu.

Na kadri unavyoendelea kuja kuropokaropoka na kokote ntakapokuona unaleta shobo na uislamu lazima nkushughulikie mpaka akili ikukae sawa japo ni kazi kubwa sababu ulizaliwa ukiwa zezeta.

Sawa binti kafiri wa kigalatia?
 
Kufunga kula kunywa kuvuta kufanya ngono kuanzia jua linapochomoza hadi linapozama.
Vipi kwa sisi tunaofunga kula, kunywa, kuvuta na kufanya ngono kuanzia jua linapozama hadi linapochomoza, na sisi tumefunga au tunaiita vipi?
 
Kwamba siku zingine hamjiepushi na uovu? Sasa swala tano zinakuwa za kazi gani kila siku.

Mnaita kufunga kimsingi kwasababu hamli mchana na ndio mimi nimetoa changamoto kwamba huko sio kufunga.

Halafu jinsi unavyojibu hapa inaonesha namna gani hauelewi maana ya kufunga.
Hata mimi sielewi maana ya kufunga yako hiyo, hapa na chelea kukuambia maana ya kufunga ya Ramadhan ni hiyo inayofungwa wanaoijua Ramadhan na si hiyo maana uijuayo wewe.
 
Funga ina tafsiiri nyingi sana.

Katika kiarabu neno funga lina maana ya KUJIZUIA.

Sasa mtu anaweza akaseema mimi najizuia kula ugali mwezi mzima ila vyakula vingine anakula na akasema amefunga bado yupo sahihi kwa sababu anaingia katika tafsiri ya funga yenye maana ya kujizuia.

Sasa unajjizuia na nini ? Hapo inabaki tafsiri ya mtu husika

Tafsiri yetu sisi waislamu ya kufunga ni kujizuia kula na kunywa na kuingilia kimwili wakati wa mchana,sijui watu munababaika wapi.

Hata wewe mtoa mada unaweza ukaanzisha dini yako ukasema dini yetu kila januari tutajizuia kuingia jamii forum hiyo ndio itakuwa funga yetu kwenye dini hiyo.

Utakuwa upo sahihi kwa mtazamo wako na wala hakuna atakayekupinga kwa sababu neno funga au kujizuia ni pana.

Na kwamba unafunga au kujizuia na nini hapo ndio wataachiwa wahusika wa jambo husika watoe tafsiri yao.

Kwa hivyo mtoa mada ndugu yangu hiyo ndio tafsiri yetu sisi ya maana ya funga.

Usitake kuturekebisha kwamba tutumie jina lingine wakati hakuna pahala tumekubaliana kwwmba kufunga maana yake ni kadhaa wa kadhaa..
Vipi kwa ambao muda wa usiku hawali wala hawanywi bali wanalala tu hadi asubuhi ndio wanakunywa chai, na hao wamefunga?
 
Maskini shosti pole unatamani kulia. Kumbuka JF ni wazo la unaowaita makafiri kama hautaki kuziona hizi mada shinda kwenye mahubiri ya dini yako
JF, kuwanzishwa na asiyekua Muislamu, hakufanyi eti Ikiletwa mada ya kuwashambulia basi Waislamu wasijibu sababu, mmiliki wa mtandao ni imani inayoshambuli.

Jua ukimtukana mzazi wa mwenzio na akiamua kujibu atakutukania Wazazi wako.
Hivyo wewe, ungekua na busara ungemueleza mwenzio kuwa Uwe Muisla uwe mkristo, maisha ni yale yale wewe unafunga kiukweli na yule anaefunga kiungo hakuna tofuti Duniani mpaka kwa Mungu kama ipo tofauti ndipo itakapoonekana.

Ila kwa sababu umeshindwa kumweleza hayo, Basi Muislamu akiusema ukristo vibaya ni kwa wote bila kujali anamiliki forams hii au la.
 
Hata mimi sielewi maana ya kufunga yako hiyo, hapa na chelea kukuambia maana ya kufunga ya Ramadhan ni hiyo inayofungwa wanaoijua Ramadhan na si hiyo maana uijuayo wewe.
Vipi kwa ambao usiku hatuli wala hatunywi bali tunalala tu hadi asubuhi ndio tunakunuwa chai, tunakuwa tumefunga?
 
Wanaweza kubuni lolote zuri. Mfano: mabadiliko ya ratiba ya kula.
Umeulizwa watumie neno gani kwa maana ya neno moja wewe umeleta (sentensi nzima) kifungu cha maneno ambacho labda ni tafsiri ya neno moja.
Hivi nyie ndio wale mnaonda kujifunza ujinga shule?
 
Wivu maana yake nini ? Isiwe unatumia neno mahala si pake.
Wivu maana yake ni kuwa na husuda na kuumia moyo kwa kile afanyacho mwingine, yaani unakitamani, mfano mimi nakula pilau kuku mchana ila kwakuwa wewe umefunga basi unabaki kutamani na kuumia rohoni, hivyo unaandika barua kufungia migahawa yote sababu ya wivu na roho mbaya.., kama Zenji wanavyofanya
 
Wanaofanya kwa namna mbalimbali hasa wale wanaoshinda mchana na njaa halafu wanakula usiku wanakosea sana kiafya. Usiku mtu hapaswi kula chakula kingi hasa kuanzia saa moja jioni.

Mimi haya ni maoni yangu kwa mujibu wa miongozo ya kiafya na sipingani na imani ya mtu yoyote.
Okay, lakini si unafahamu kwamba Tanzania ni nchi huru na kila mtu anaweza kuamua anachotaka pasipo kuvunja sheria?
Hivyo maana yake hakuna yoyote mwenye mamlaka ya kumpangia mwingine nini cha kufanya?
 
Maskini ee shosti unaomba pesa ya pedi kijanja daah pole
Kumbe ndo ujanja wako unaotumiaga kuomba pedi kuzuia hiyo midamu michafu inayikumwagika kila mwezi.

Nakuonea huruma binti,wewe sio wa kuomba pedi kila mwezi.

Tangia yule shababi wa kiislamu akupige chini umepoteza kabisa direction.

Hivi ile mimba alokupiga akaikataa na kuamua kukukimbia uliitoa au uliamua kuzaa?
 
Okay, lakini si unafahamu kwamba Tanzania ni nchi huru na kila mtu anaweza kuamua anachotaka pasipo kuvunja sheria?
Hivyo maana yake hakuna yoyote mwenye mamlaka ya kumpangia mwingine nini cha kufanya?
Yeah ni kweli, hivi kwa sisi ambao usiku hatuli wala hatunywi wala kufanya ngono, bali tunalala tu hadi asubuhi ndio tunapiga cha asubuhi na kunywa chai, tunakuwa tumefunga pia?
 
Wivu maana yake ni kuwa na husuda na kuumia moyo kwa kile afanyacho mwingine, yaani unakitamani, mfano mimi nakula pilau kuku mchana ila kwakuwa wewe umefunga basi unabaki kutamani na kuumia rohoni, hivyo unaandika barua kufungia migahawa yote sababu ya wivu na roho mbaya.., kama Zenji wanavyofanya
Nenda kajifunze maana ya maneno kwanza. Wivu siyo husda.

Na wewe unae kula unatakiwa uheshimu jambo la mwenzako. Hapa kuna vitu mnachanganya na mnakuja kuongelea mambo kihisia.

Mathalani nchi kama Zanzibar ni sahihi kufanya maamuzi yale sababu wao kule zaidi ya asilimia 80 ni Waislamu hata huku Bara pia. Ustaarabu ni wewe kuheshimu imani ya mwenzako hasa ukijua. Kwanini ule mbele ya mwenzako na unajua amefunga ?
 
Okay, lakini si unafahamu kwamba Tanzania ni nchi huru na kila mtu anaweza kuamua anachotaka pasipo kuvunja sheria?
Hivyo maana yake hakuna yoyote mwenye mamlaka ya kumpangia mwingine nini cha kufanya?
Hakika, hakuna anayempangia mwingine cha kufanya. Ni kuelimishana tu.
 
Vipi kwa ambao usiku hatuli wala hatunywi bali tunalala tu hadi asubuhi ndio tunakunuwa chai, tunakuwa tumefunga?
Tafuta wewe tafsiri yako, wewe ndio unaejua nini unachokifanya, hata ukiwa kila muda unakula na ukasema umefunga labda utakuwa sahihi, maana unaweza sema unaifunga njaa, kwa vile utakiwi kuwa na njaa waelevu kama sisi tutakuelewa.

Huyo jamaa anashangaa jinsi linavyotumika neno funga hajui hata kwenye mipira, mabao, madrafti na michezo mingine inatumia neno funga tofauti na funga aijuae yeye.
 
Yeah ni kweli, hivi kwa sisi ambao usiku hatuli wala hatunywi wala kufanya ngono, bali tunalala tu hadi asubuhi ndio tunapiga cha asubuhi na kunywa chai, tunakuwa tumefunga pia?
Hicho ni kitu cha mtu binafsi na maamuzi yake.
Anaweza kusema chochote kile eidha amefunga au lah na kama akikubali basi sawa. lakini cha muhimu ni kwamba mimi sina mamlaka ya kujudge maamuzi wala maono ya mtu binafsi.
 
Back
Top Bottom