moyo wa bilionea
JF-Expert Member
- Jun 17, 2022
- 327
- 649
umesema kweli kabisa dada yangu Kelsea maneno ya busara hayaWaulize wenye pesa zao wanaopitia changamoto za mapenzi wakueleweshe. Ukiwa na pesa utavutia wale walafi wa hizo pesa zako ila kama unataka mahusiano ya kueleweka ujue kazi bado unayo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mnafundishana ujinga[emoji38][emoji38]Kwa uzuri wako nilikuwa nalitegemea hilo[emoji257][emoji257]lakini issue sio kuwa na mtu bali kuwa na mtu sahihi.
BTW sidhan kama ni mtu wako wa kwanza hata akiwa wa kwanza huwezi kujihakikishia kwamba atakuwa wa mwisho. Naomba uwe wa mwisho kwangu nami niwe wa mwisho kwako[emoji1666][emoji1666]
NAJUA KWANN UNACHEKA😂😂😂😂
Nidokeze ni kwaniniNAJUA KWANN UNACHEKA
Nipo stationary nafanyia lamination hii comment yako mkuu.Kwa uzuri wako nilikuwa nalitegemea hilo[emoji257][emoji257]lakini issue sio kuwa na mtu bali kuwa na mtu sahihi.
BTW sidhan kama ni mtu wako wa kwanza hata akiwa wa kwanza huwezi kujihakikishia kwamba atakuwa wa mwisho. Naomba uwe wa mwisho kwangu nami niwe wa mwisho kwako[emoji1666][emoji1666]
nitakwambia subir kidogoNidokeze ni kwanini
ebwana eee nina mwanangu ana mpunga sana ila watoto wana mchomolea fyuzi mnooWaulize wenye pesa zao wanaopitia changamoto za mapenzi wakueleweshe. Ukiwa na pesa utavutia wale walafi wa hizo pesa zako ila kama unataka mahusiano ya kueleweka ujue kazi bado unayo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu wengi wanadhani ukiwa na hela ndio utapata mwanamke yoyote. Hawaamini kuna wanawake hawababaiki na hela.ebwana eee nina mwanangu ana mpunga sana ila watoto wana mchomolea fyuzi mnoo
Acha uongo tafuta pesa uone kama kuna mwanamke unayemtaka atakupuuza.Watu wengi wanadhani ukiwa na hela ndio utapata mwanamke yoyote. Hawaamini kuna wanawake hawababaiki na hela.
Umeelewa nilichoandika?Acha uongo tafuta pesa uone kama kuna mwanamke unayemtaka atakupuuza.
Kuna una pesa tumia pesa, hakuna mwanamke anayeweza kukukataa
Asiposikiliza huu ushauri ndio basi tena, atakuwa haambiliki 😂😂Kwanini umemuuliza kama anamtu au hana we jipambanie wewe kama wewe then ye atachagua yuko single au ana mtu
Mh h moment mkuu uneitoa wp au umepest?Kwa uzuri wako nilikuwa nalitegemea hilo[emoji257][emoji257]lakini issue sio kuwa na mtu bali kuwa na mtu sahihi.
BTW sidhan kama ni mtu wako wa kwanza hata akiwa wa kwanza huwezi kujihakikishia kwamba atakuwa wa mwisho. Naomba uwe wa mwisho kwangu nami niwe wa mwisho kwako[emoji1666][emoji1666]
Iyo imetulia haezi chomoaKwa uzuri wako nilikuwa nalitegemea hilo[emoji257][emoji257]lakini issue sio kuwa na mtu bali kuwa na mtu sahihi.
BTW sidhan kama ni mtu wako wa kwanza hata akiwa wa kwanza huwezi kujihakikishia kwamba atakuwa wa mwisho. Naomba uwe wa mwisho kwangu nami niwe wa mwisho kwako[emoji1666][emoji1666]