Naona huelewi context. Hakuna anayechukia elimu. Tunaongelea maslahi madogo ya madaktari against kada zingine za umma kama TANAPA, TRA, LATRA na taasisi kama hizo, ambazo skeli zao za mishahara ni kubwa kulinganisha za madaktari. Period.Vipi na daktari wa TANAPA,MD,BVM,Phd......anazidiwa kiasi gani na askari wa TANAPA?
NOTE
huwezi kuichukia elimu,ukabaki salama,.......lazima tu utakua MPUMBAVU
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wako wenzie huku mtaani wanaswampaaa tyuu!!Anaye jua mshahara wa mechanical engineering anitajie maana sio tunasoma tu! Mwakani naua mwaka wa 4 nisije nikawa nauza bangia mtaani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huo mshahara analipwa mgambo mwenye cheti cha form 4 pale TPA.
Kweli maisha ni timing
Sasa kilichofanya nini ukataee hiyo kazi? Upelee humuota asiye na kucha.Braza nilishawah pata kazi flan kirahis mnoooo na ile kazi sikua hata naona ninachokifanya mpaka (honestly) siku nikamfuata msaidizi /chawa wa director nikamuuliza "hivi hakuna kazi zingine za kufanya zaidi ya hizi?? Mbona naona kama sifanya kazi hapa inayoe dana na mshahara mnaonilipa" kazi muda mwingi ni vikao vikao tuuuu na kuandika andika report, i was employed as an IT personelly lakin nikajua hapo ni mwendonwa software development tu ila kutwa nacheza na excel halaf sasa uliza mshahara, nilikua nalipwa milion 3.5 kwa mwezi.
Na kaz ilikua full kusafir, na kila ukisafir per dm 80k every day nje ya ofisi hapo umeshalipowa hotel, na chakula, ukiwa kwenye movement ya kiofisi ni gari. Unakula pipa mara 2 hadi 3 kwa week.
Ukija kusanya per dm mpaka mwez unaisha sio chini ya 1.5milion nje ya mshahara..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Weka connection haraka sana
Nilifanya lakin niliomba kuacha baada kufika nusu ya projectSasa kilichofanya nini ukataee hiyo kazi? Upelee humuota asiye na kucha.
Wewe unakuaga tu na kismart chakoNilifanya lakin niliomba kuacha baada kufika nusu ya project
1.Sasa unadhani madaktari kwenye hizo taasisi zinazolipa mishahara unayodai ni mikubwa huwa hawaajiriwi?Naona huelewi context. Hakuna anayechukia elimu. Tunaongelea maslahi madogo ya madaktari against kada zingine za umma kama TANAPA, TRA, LATRA na taasisi kama hizo, ambazo skeli zao za mishahara ni kubwa kulinganisha za madaktari. Period.
Kismart kimenisalit sasa hiv nimepigika mbwa kachoka akasomeWewe unakuaga tu na kismart chako
Ndio maana umemrudia Bwana wa majeshi?πKismart kimenisalit sasa hiv nimepigika mbwa kachoka akasome
Pole sana mkuu,Kismart kimenisalit sasa hiv nimepigika mbwa kachoka akasome
Kuna kipindi i met Dr Mataragio akiwa TPDC na sikuwa najua haya ila ningebubujikwa na machozi aniweke pale.Kuna wadau wapo TPDC tena madereva tu wasio na elimu wala hawana mkopo HESLB wanakunja mamilioni ya pesa kushinda daktari aliyekaa miaka 6 darasani na anadaiwa mkopo na bodi.
Ni stress tupu hii kazi udaktari. Misosi pekee wanaokula pale TPDC kwa mwezi ni mshahara wa daktari.
KUmbe je??? Nilikaa chin nikawaza na kitafakari kama yule mwana mpotevu, nikaona acha nirud nyumbani kwa baba πππNdio maana umemrudia Bwana wa majeshi?π
Ulikosa fursa adhimu sana mkuu.Kuna kipindi i met Dr Mataragio akiwa TPDC na sikuwa najua haya ila ningebubujikwa na machozi aniweke pale.
Mbona Hii nyingi sana wanaanzia Hawa ma MD kipindi wengine tumeanza kazi tunalipwa 200k kwa MDNimeona salary slip ya mshahara wa daktari, yaani miaka yote halafu unaishia kulipwa hivi? View attachment 3043955
πππ1.Sasa unadhani madaktari kwenye hizo taasisi zinazolipa mishahara unayodai ni mikubwa huwa hawaajiriwi?
2.MSD,NHIF,BOT,TANAPA,TPDF......etc huko hakuna madaktari MD?
3.kwa hio madaktari waliokua kwenye hizo taasisi unazosema zina mishahara mikubwa wao ndio wanalipwa kidogo?
4.halafu hizo ulizotaja kada za umma,TANAPA,TRA,LATRA....hizo sio kada/"profession"ni taasisi za umma ambazo zimeajiri kada mbali mbali kama accountant,lawyer,MD,I.T,etc na hulipwa kulingana na salary scale ya taasisi husika
5.Je wewe sio MPUMBAVU kwa kutokujua kua pia MD huajiriwa kwenye taasisi,na hulipwa salary scale according to hio taasisi?
6.Je wewe sio MPUMBAVUππ kwa kusema kwamba TANAPA,TRA na LATRA ni kada,wakati hizo ni taasisi?
ππ
NOTE
Wengi wanaoponda MD ni waliofeli secondary kua MD sababu maksi hazikutosha sasa wanajifariji kwa kusingizia MD wanalipwa kidogo
Linaisha mbona, haizidi miaka 10Hilo deni la heslb hatokaa alimalize kwa trend hiii