Mwamaleki
JF-Expert Member
- May 25, 2018
- 727
- 2,969
Wewe ni kengeCha msingi toa hela mdada apendeze
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ni kengeCha msingi toa hela mdada apendeze
Ondoa umasikini kwenu kwanza,kwa wazazi wako na ndugu zako ndo uje na hizo ngojera zako hapa,wewe mwenyewe hapo unanuka umasikini harafu unakuja na hadithi za kipuuzi hapa.Kwanza nianza kwa kuwalaumu waliogundua mapema hii siri kwa kukaa na hii (nywila) password kwa muda mrefu.
Iko hivi wewe mwanaume ukitaka kupendwa na watoto wazuri, wasafi wenye shape zao, watoto wa kishua fanya hivi.
1. Tenga bajeti ya kutosha kwaajili ya kununua furaha, we mtoto wa kiume usipende vitu vya bure.
2. Tongoza warembo classic, usisubiri wakuombe hela wewe wahonge tu tena fanya miamala itakayo mtomasa tomasa sio unamtumia eti elfu 50 we bwege nini[emoji26]
Unadhani anaenda saloon bure? Unataka apande bodaboda? Huna adabu kabisa wewe, sasa hiyo elfu 50 si ya breakfast tu tena kwa kujibana.
Wadada ni watu wazuri sana wanaweza kukuonesha emotion za mapenzi wasipokuwa na stress, hakikisha umemlipia kodi ya mwaka mzima, omba account yake ujaze pesa, mtafutie passport mtoe outing hata Dubai mara moja kila baada ya miezi 3 kama huna hela.
Ukishindwa acha kudeal na warembo pimbi wewe, jiunge na CHAPUTA huko. Ukipata hela ndo utongoze.
Poleni sana wadada mnao lemewa na mibwana isiyojua kuhonga, njooni kwangu nami nitawapumzisha, nitawapa raha nafsini mwenu.
Password ya penzi tamu ni PESA.
GREAT THINKERS MSIO NA PESA MTUKANE WEE ILA MKAE MKIJUA HAO WAPENZI WENU WANATUMIA GHARAMA KUBWA KU MAINTAIN UZURI.
Daah aisee.Endelea kuwadanganya wenzako kwamba pesa ndiyo kila kitu, kama haujapendwa hata ukitoa pesa sana, utaonekana mlipa bills tu penzi ataenda kupewa bodaboda anayependwa[emoji3][emoji3][emoji2088]
Misitumie pesa kama silaha ya mawindo yenu, mfate mtu mwambie ukweli, akikupenda utafaidi bila hata kutumia nguvu kubwa ya pesaDaah aisee.
Kwhy tufanyeje sasa?
Tatizo sio kutumia pesa tatizo ni pale tunapotumia hela alafu mnataka tugandane. Wee niwache niwe huru kuzangamua mbususu zingine😀😀😀😀😀watapita kama hawaon
Women love money forget the pretenders ndio hii sasaMisitumie pesa kama silaha ya mawindo yenu, mfate mtu mwambie ukweli, akikupenda utafaidi bila hata kutumia nguvu kubwa ya pesa
Nakataa tunapenda mtu siyo pesaWomen love money forget the pretenders ndio hii sasa
Na mie nakataaa mnapenda the security that money providesNakataa tunapenda mtu siyo pesa
Financial naona upo hapa kijiweni [emoji1][emoji1][emoji1]Nakataa tunapenda mtu siyo pesa
SafiHii password hii niliitumia kitambo Sana. Kuna siku nilimuita mrembo samaki samaki mlimani city enzi za ShopRite. Alipofika nikampa a hundred thou nikamwambia afanye shopping ShopRite Mimi namalizia beer yangu. Fasta binti alizama ndani, na alitoka akiwa na zile lambalamba tu. Nikamwambia tusogee Calabash tule mbuzi choma ya viwango, nikamwambia aagize kinywaji chake, Kama kawaida aliagiza Kama sio St Anne Basi Ni amarula, sikumbuki maana Mimi vitu vidogo vidogo siangalii. Muda uliposogea tukaita ubber enzi zile , mwelekeo wa Johannesburg Sinza. Kwa kweli sikumuambia tunakwenda kufanya nini Ila binti alikua tayari kwa lolote. Basi binti kanisusia mzigo Ile wanasemaga chukua yote. (Sio ule ujinga wa wamakonde eti wabakizie wenzako). Tukipotoka nikampa another hundred thou ya taxi.
Kesho yake Sasa. Ni msg tamtam tu. Nikambamiza na fifty ya voucher asimuwaze MTU mwingine.
Huduma anapewa mwanamke mwenye malengo na wewe, kama vile mchumba au umekuwa na mahusiano ya muda mrefu. Pesa toa Kwa wanaouza. Ushauri , mpende mkeo.Hujajibu nilichouliza master.
Nipo habari yako mkuu!Financial naona upo hapa kijiweni [emoji1][emoji1][emoji1]
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Labda sio wadada wa bongoEndelea kuwadanganya wenzako kwamba pesa ndiyo kila kitu, kama haujapendwa hata ukitoa pesa sana, utaonekana mlipa bills tu penzi ataenda kupewa bodaboda anayependwa😀😀🏃♀️
Kitambo Sana since miaka ileee [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] ,Nipo habari yako mkuu!
Ukiwa na hela hawa warembo unaenjoy nao sana yaani unakuta mbususu ilishalowa kitamboo wee ni kuteleza tuuuHii password hii niliitumia kitambo Sana. Kuna siku nilimuita mrembo samaki samaki mlimani city enzi za ShopRite. Alipofika nikampa a hundred thou nikamwambia afanye shopping ShopRite Mimi namalizia beer yangu. Fasta binti alizama ndani, na alitoka akiwa na zile lambalamba tu. Nikamwambia tusogee Calabash tule mbuzi choma ya viwango, nikamwambia aagize kinywaji chake, Kama kawaida aliagiza Kama sio St Anne Basi Ni amarula, sikumbuki maana Mimi vitu vidogo vidogo siangalii. Muda uliposogea tukaita ubber enzi zile , mwelekeo wa Johannesburg Sinza. Kwa kweli sikumuambia tunakwenda kufanya nini Ila binti alikua tayari kwa lolote. Basi binti kanisusia mzigo Ile wanasemaga chukua yote. (Sio ule ujinga wa wamakonde eti wabakizie wenzako). Tukipotoka nikampa another hundred thou ya taxi.
Kesho yake Sasa. Ni msg tamtam tu. Nikambamiza na fifty ya voucher asimuwaze MTU mwingine.
Bongo hii hii tena huku Buza kwetuLabda sio wadada wa bongo
Yes Pesa isitumike kama kigezo cha kupata totozKitambo Sana since miaka ileee [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] ,
Kwahyo pesa isitumike ee[emoji1]
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app