Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 20,921
- 49,014
Abarikiwe Sana.....nyuzi zake Kuna watu hawazioni teh tehHarakati zake zinanikosha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Abarikiwe Sana.....nyuzi zake Kuna watu hawazioni teh tehHarakati zake zinanikosha
Ahahaha tunaona vizur sema huyu kwenye chama chetu bado entry level..hii inahusisha illusions ana imagination about relationship...kuna stages na department nying bado haja qualify kuingia hapa idarani.... atakapo fuzu anaweza kuwa na sifa za kukabidhiwa kitengo like dronedrake😀😀😀😀😀watapita kama hawaon
Mnajipa moyoAhahaha tunaona vizur sema huyu kwenye chama chetu bado entry level..hii inahusisha illusions ana imagination about relationship...kuna stages na department nying bado haja qualify kuingia hapa idarani.... atakapo fuzu anaweza kuwa na sifa za kukabidhiwa kitengo like dronedrake
Wanajikausha kabisaAbarikiwe Sana.....nyuzi zake Kuna watu hawazioni teh teh
Sehemu yao ni kwenye ziwa la motoWanajikausha kabisa
Ahahahah hatujikaushi ila utoto bado unamsumbua..Ni kama zile imaginations tulizokua nazo zaman tukiwa na utoto kwamba nikimaliza shule naanza kazi..baada ya mwaka najenga nyumba...nikimaliza miaka miwil naoa. N.k n.k😂😂😂Wanajikausha kabisa
Nani huyo nimhonge mapesa?😊Una bahati na ngosha
Wanawake wazuri wanapaswa kulindwa na pesa.Ahahaha tunaona vizur sema huyu kwenye chama chetu bado entry level..hii inahusisha illusions ana imagination about relationship...kuna stages na department nying bado haja qualify kuingia hapa idarani.... atakapo fuzu anaweza kuwa na sifa za kukabidhiwa kitengo like dronedrake
Nakubaliana 100% na wewe.. mwanaume mwenye akili analijua hil lakin hatutoi toi tuuu kisa zipo na kisa ni mwanamke...**** mchakato wa assesment lazima apitishwe na afuzu..Wanawake wazuri wanapaswa kulindwa na pesa.
Bt keep in mind akitokea mwenye pesa zaid yako you're doneWanawake wazuri wanapaswa kulindwa na pesa.
Mtoto mzuri anakula swagaz,anasuka na swagaz?anapaka swagaz?chukua notes acha ukaidiHakuna cha hela wala nn, password ya mapenzi ni MANENO tu, mtoto anaingia kapuni mambo ya hela wameshapitwa na wakati asaivi ni kuteka moyo tu kwa maneno matamu mtoto anashiba anabweteka na analipuka mwisho wa siku simple tu.
#SWAGAZ TU
[emoji23][emoji23]Hizo ni nadharia tu. Ndugu zangu hii nchi bado inaendelea, tusitishane.
Noted, ila sio kama huyo jamaa anavo kazi.Mtoto mzuri anakula swagaz,anasuka na swagaz?anapaka swagaz?chukua notes acha ukaidi
Vijana bwana....! Hapo hapo kuna nondo hizo hizo utumbo huo?Mkuu, umetumia muda gani kufikiria hizi nondo ulizoandika? [emoji848][emoji848][emoji848]
Read between the lines mkuu.Vijana bwana....! Hapo hapo kuna nondo hizo hizo utumbo huo?
Basi mimi niko nyuma kwenye hiyo password mkuu. Ngoja nirudie kusoma kinyume nyume au kisiasa siasa au kimbeambeaRead between the lines mkuu.
Sio kila kilichoandikwa, kina tafsiri unayoiona hapo.