Unataka Kupewa Penzi Tamu na Totoz? Tumia Password hii Utanishukuru

Ondoa umasikini kwenu kwanza,kwa wazazi wako na ndugu zako ndo uje na hizo ngojera zako hapa,wewe mwenyewe hapo unanuka umasikini harafu unakuja na hadithi za kipuuzi hapa.

Nyie ndo vijana wa hovyo.watu wanawaza namna ya kuanzisha technologia mpya duniani wewe unawaza namna ya kumfurahisha mwanamke ,

Pumbavu kabisa
 
Endelea kuwadanganya wenzako kwamba pesa ndiyo kila kitu, kama haujapendwa hata ukitoa pesa sana, utaonekana mlipa bills tu penzi ataenda kupewa bodaboda anayependwa[emoji3][emoji3][emoji2088]
Daah aisee.

Kwhy tufanyeje sasa?
 
........sawa mkuu tutajitahidi kununua mahusiano, nilikuwa sifahamu kuwa ni biashara, nimechelewa sana!!.......
 
Safi
 
Ukiwa na hela hawa warembo unaenjoy nao sana yaani unakuta mbususu ilishalowa kitamboo wee ni kuteleza tuuu
 
Jiandaeni kwa comments za kuonesha watu wanawapa sana hela wapenzi wao 😁pia mademu watasapoti sana hii mada

Akili kumkichwa

Wanaotoa sana hela hawapigi kelele wala kuanzisha mada na wanaopewa Hela huwezi ona wanapiga kelele
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…