Unataka Kupewa Penzi Tamu na Totoz? Tumia Password hii Utanishukuru

Hamna kitu hapo, mtoa maada umeandika mavi matupu..

mimi situmii pesa na nina kula watoto wakali wenye shape na wa kishua
 
ye34nbe njoo u dislike masta , hata saa mbovu inasemaga ukweli mara Kwa siku
 
Wanawake hawaridhiki .... anyway hiyo ndo mbinu ya kula demu yeyot yule ulimwenguni bt keep in mind haifanyi kaz kwenye kutafuta true luv besides utakufa na kisukari ukilazmisha
 
Kiwango kikubwa cha kuwaza ujinga pale unapojifanya kuwafaham wanawake ambao watu kama kina Elon musk wameona mwanamke kashindikana wameamua kuunda wa kidigital
 
Kwenye katiba mpya na hili liwepo
 

Wewe umeongea ukweli ,Pesa Pesa Pesa!
 
Mbona wanawake/madem wasiohitaji mbwembwe zote hizo wapo na ni classic tuuu
 
We mdada huwezi kutushauri wanaume jinsi ya kuwapata, tuna mbinu zetu tunazijua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…