Unataka Kupewa Penzi Tamu na Totoz? Tumia Password hii Utanishukuru

Umepiga kwenye mshono wa apendix.
 
Basi mimi niko nyuma kwenye hiyo password mkuu. Ngoja nirudie kusoma kinyume nyume au kisiasa siasa au kimbeambea
Password haipo kwenye alichoandika yeye, ipo kwenye comment niliyom quote Mimi.
 
Kuna siku nimetoka job, kabla ya kwenda kitunda nikapaki pale banana kwenye bar nyingi nyingi. Nikamkuta bar meidi mmoja amekaa kinyonge, nikamwambia niletee castle lite baridi na wewe chukua kinywaji unachotaka, nikamwambia amwambie MTU wa jikoni aniletee mchemsho wa kuku na yeye aagize anachotaka, kaagiza kuku nusu muchomo. Nikaagiza castle lite nyingine na yeye nikamwambia aongeze ya kwake. Nikamaliza mchemsho wangu na kulipa. Sijafika kwenye gari huyuhapa. Kaniambia, Kaka umesahau kuchukua namba ya simu, nikamwambia usihofu kesho nakuja hapa hapa. Kesho yake kweli nikafika na lile zoezi likaendelea, yaani binti anataka kunipa namba yake lkn najifanyisha Niko bize na gazeti. Ile nataka kuondoka binti ananiambia kesho Niko off. Nikamwambia nitakua maeneo haya haya. Mimi huyo Kimara.
 
chai
 
Huwa nikilielewa lishangazi nafunga biashara kwa 50 au laki,naliachia no zng wiki ni nyingi lazima nipewe mbususu
 
Ivi nani kakuita bei elekezi ..... kwahiyo hata hiyo penzi unawekea bei elekezi?
 
Hii password ya kutumaa hela bila kuobwa ni uoga aisee.[emoji16][emoji16][emoji16] wewe bado ni mchanga sana kwenye haya mambo.

Kuanzia leo shika hii penda kujua location zao wanazo penda kwenda kupiga picha kwa ajiri ya ya kupost Instagram tu. Niamini mm gharama zako zitakua ni mafuta tu ya kwenda huko. Na hapa ukiwa mbunifu wa location nyingi nyingi basi ndio mara idadi utakayo MLA huyo manzi.
 

Sanamu lako tujenge wapi [emoji3]
 

Sawa na ukimwi unakufata
 
Labda nisipate roboti used
 

Mzee Umechelewa Kuwajua Watoto wazuri! Kaa kwa Kutulia !! Afu mwenye kuhonga vzur aongei sana’
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…