Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
- Thread starter
- #41
KwakweliKama mwanamke ni bikra hakikisha umeolewa na cheti umekishika na kwenda kukihakiki Rita kabisa ndiyo uvue pichu
Ukitoa bikra kabla ya ndoa he kuna shida gan??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KwakweliKama mwanamke ni bikra hakikisha umeolewa na cheti umekishika na kwenda kukihakiki Rita kabisa ndiyo uvue pichu
Asiongozwe na hisia akakurupuka kumpea harakaharaka dadalakeee ohooooo!!
Umejaa woga na mashakaWakati wew unamsubirisha wezio wanasema watampata lini na wakimpta watampindua pindua mwisho wasiku unaonekana fala ukipata nafasi enjoy maisha😁
Kuna walipotoa fasta na wakaolewa lakiniAsiongozwe na hisia akakurupuka kumpea harakaharaka dadalakeee ohooooo!!
Unataka kununua ugomvi kwangu nikupe chenji yako au??Huyo aliekutongoza pisi mbovu kama wewe ana moyo
Akiachwa solemba je?Muda wowote tu pale hisia zitakapomuelekeza kufanya hilo tendo;
Uweee,I don’t think the problem is giving love the problem is a chemistry if there is no chemistry even if you wait forever it won’t matter.that stuff is what makes love interesting and sweet.
Bahati nzuri kitendea kazi si kinabaki?Akiachwa solemba je?
Weee sema kweli??? Wape Hongera sana dadalake!Kuna walipotoa fasta na wakaolewa lakini
We fasta unatoamo Haina kulembaMi kucheleweshwa huwa sitaki kabisa [emoji855]
asanteee.Haina formula.. kama ni wa kukaa atakaa no matter umempa siku hiyo hiyo, kama ni wa kukimbia no matter umemzungusha mwaka atakimbia tu. Fanya mapenzi kwa furaha yako
Tabia yako ya kuja pm kwangu kunilazimisha ni subscribe YouTube channel yako sijapendezwa nayoUnataka kununua ugomvi kwangu nikupe chenji yako au??
Na Prisca ama Sumaiya??[emoji2]Mimi nilikaa miezi 6 ndo nikapewa utamu
toka then, kutoka ni freeTabia yako ya kuja pm kwangu kunilazimisha ni subscribe YouTube channel yako sijapendezwa nayo
hio emotional damage utailipia?Bahati nzuri kitendea kazi si kinabaki?
ila ni 10 kwa mmojaWeee sema kweli??? Wape Hongera sana dadalake!