Unatakiwa ukae kwa muda gani kwenye penzi jipya kabla hamjapeana utamu?

Unatakiwa ukae kwa muda gani kwenye penzi jipya kabla hamjapeana utamu?

Wakati wew unamsubirisha wezio wanasema watampata lini na wakimpta watampindua pindua mwisho wasiku unaonekana fala ukipata nafasi enjoy maisha😁
Umejaa woga na mashaka
Uje Kwa Yesu upate imani kwanza
 
I don’t think the problem is giving love the problem is a chemistry if there is no chemistry even if you wait forever it won’t matter.that stuff is what makes love interesting and sweet.
Uweee,
Nakupa maua yako
 
Back
Top Bottom