Unatakiwa ukae kwa muda gani kwenye penzi jipya kabla hamjapeana utamu?

Unatakiwa ukae kwa muda gani kwenye penzi jipya kabla hamjapeana utamu?

Vitabu vyote nadhani hili havijaliweka sawa hasa vikiwemo Biblia na Msahafu na hata Katiba ya taifa hili... ila kwa muujibu wa katiba ya wahuni kifungu no;6(a) ya mwaka 2023 Inasema "mshikaji anapoomba namba akapewa baada ya nusu saa anatakiwa awe ashamaliza jukumu zima la utongozaji na ikitokea amekubaliwa basi asilaze damu na aombe gemu(game) kabla jua halijazama awe ametimiza lengo lake(kuzagamuana) na kama ikiwa kinyume cha hapo huyo mjuba atakuwa ni dhaifu na hata akimuoa huyo manzi hawataa wadumu kwenye ndoa nkt.
 
Vitabu vyote nadhani hili havijaliweka sawa hasa vikiwemo Biblia na Msahafu na hata Katiba ya taifa hili... ila kwa muujibu wa katiba ya wahuni kifungu no;6(a) ya mwaka 2023 Inasema "mshikaji anapoomba namba akapewa baada ya nusu saa anatakiwa awe ashamaliza jukumu zima la utongozaji na ikitokea amekubaliwa basi asilaze damu na aombe gemu(game) kabla jua halijazama awe ametimiza lengo lake(kuzagamuana) na kama ikiwa kinyume cha hapo huyo mjuba atakuwa ni dhaifu na hata akimuoa huyo manzi hawataa wadumu kwenye ndoa nkt.
kha!
kweli wahuni 8:2
 
Naulizwa

Muulizaji: money penny, unatakiwa ukae muda gani (siku/miezi mingapi) na mpenzi wako kwenye penzi jipya kabla hamjafanya mapenzi?

Nisije nikalala nae mapema nikakimbiwa. Nisije nikamkazia sana akakimbia, nifanyaje?

Haya mje mumsaidie mwenzenu.
Jinsi mnavyojiuza unajisumbua tuu kujifanya hutoi.
 
Back
Top Bottom