Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
- Thread starter
-
- #61
Mungu anakuoooooooooooona!ANGALIZO: Mwanamume usijaribu kuingia kwenye mahusiano na mwanamke kabla ya kusex naye
Mle manzi mapema kadiri iwezekanavyo aanzishe uhusiano na wewe
Mungu anakuoooonaTAT n ndani ya siku 7 toka mmekuwa wapenzi.
Siku 1 inatosha..Naulizwa
Muulizaji: money penny, unatakiwa ukae muda gani (siku/miezi mingapi) na mpenzi wako kwenye penzi jipya kabla hamjafanya mapenzi?
Nisije nikalala nae mapema nikakimbiwa. Nisije nikamkazia sana akakimbia, nifanyaje?
Haya mje mumsaidie mwenzenu.
Kamle mama Janet,🤣🤣🤸Mimi nilikaa miezi 6 ndo nikapewa utamu
KIRUSiku Nikipewa huo utamu nitakuja kutoa ushuuda
WE mwanaume au mwanamke? poleSasa mbona mimi nazungushwa tu hadi nimechoka
uuuwi hahahaSiku 1 inatosha..
Ukikaza unatafuta kusaidiwa
uweeeeinategemea na mawasiliano yenu kwa siku sex wakati mwingine inakuja tu kutokana na hisia zenu
kha!Vitabu vyote nadhani hili havijaliweka sawa hasa vikiwemo Biblia na Msahafu na hata Katiba ya taifa hili... ila kwa muujibu wa katiba ya wahuni kifungu no;6(a) ya mwaka 2023 Inasema "mshikaji anapoomba namba akapewa baada ya nusu saa anatakiwa awe ashamaliza jukumu zima la utongozaji na ikitokea amekubaliwa basi asilaze damu na aombe gemu(game) kabla jua halijazama awe ametimiza lengo lake(kuzagamuana) na kama ikiwa kinyume cha hapo huyo mjuba atakuwa ni dhaifu na hata akimuoa huyo manzi hawataa wadumu kwenye ndoa nkt.
kwasababu ya upendoMkae yanini kama malengo yanaweza kutimizika leo kwanini yasubiri?
Jinsi mnavyojiuza unajisumbua tuu kujifanya hutoi.Naulizwa
Muulizaji: money penny, unatakiwa ukae muda gani (siku/miezi mingapi) na mpenzi wako kwenye penzi jipya kabla hamjafanya mapenzi?
Nisije nikalala nae mapema nikakimbiwa. Nisije nikamkazia sana akakimbia, nifanyaje?
Haya mje mumsaidie mwenzenu.
aisee!Jinsi mnavyojiuza unajisumbua tuu kujifanya hutoi.
hahahaah Mungu anakupa riski ingineMuda huo huo, kusubiri akifa je 😄
Lakini miamala itoke siku hiyo hiyo ?kwasababu ya upendo
Hata sijuiWE mwanaume au mwanamke? pole
Muamala ganLakini miamala itoke siku hiyo hiyo ?