Unatakiwa ukae kwa muda gani kwenye penzi jipya kabla hamjapeana utamu?

Unatakiwa ukae kwa muda gani kwenye penzi jipya kabla hamjapeana utamu?

Inategemea mmekutana lini kama.mmekutana week day unampa.wrek end na kama mmekutana week end utampa.next week end mi nilikutana nae week end akaja akanipa next week end hadi leo tupo pamoja mwaka wa 6 sasa
 
Inategemea mmekutana lini kama.mmekutana week day unampa.wrek end na kama mmekutana week end utampa.next week end mi nilikutana nae week end akaja akanipa next week end hadi leo tupo pamoja mwaka wa 6 sasa
Du
Hio ilikuwa mwaka gan?
 
Naulizwa

Muulizaji: money penny, unatakiwa ukae muda gani (siku/miezi mingapi) na mpenzi wako kwenye penzi jipya kabla hamjafanya mapenzi?

Nisije nikalala nae mapema nikakimbiwa. Nisije nikamkazia sana akakimbia, nifanyaje?

Haya mje mumsaidie mwenzenu.
Inategemea mlipokutana;
1. Kwenye bata isizidi, 3 Hours
2. Ukimpa lift 12 hours inatakiwa iwe imeenda
3. Kwenye mwendo kasi/ daladala, 1 day
4. Kanisani siku mbili, assumption u met on sunday J5 ready for consumption!
 
Inategemea mlipokutana;
1. Kwenye bata isizidi, 3 Hours
2. Ukimpa lift 12 hours inatakiwa iwe imeenda
3. Kwenye mwendo kasi/ daladala, 1 day
4. Kanisani siku mbili, assumption u met on sunday J5 ready for consumption!
Hii NI season ya ngan unaongelea
 
Naulizwa

Muulizaji: money penny, unatakiwa ukae muda gani (siku/miezi mingapi) na mpenzi wako kwenye penzi jipya kabla hamjafanya mapenzi?

Nisije nikalala nae mapema nikakimbiwa. Nisije nikamkazia sana akakimbia, nifanyaje?

Haya mje mumsaidie mwenzenu.

Ukimbania wewe kipindi hicho cha kumbania utakuwa unakidhije haja yako ya kimwili [emoji23]
 
Back
Top Bottom