Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AiseeKila mtu ana sababu zake za msingi
AiseeMshauri asiingie kwenye mahusiano kama hayupo tayari na ndoa. Aache uasherati.
Hao waliopeana mara moja wakaoana, wamezaliwa mwaka gan?Watu wanapeana siku moja na wanaoana[emoji23][emoji23]
Ila angalia wako yukoje
DuInategemea mmekutana lini kama.mmekutana week day unampa.wrek end na kama mmekutana week end utampa.next week end mi nilikutana nae week end akaja akanipa next week end hadi leo tupo pamoja mwaka wa 6 sasa
Masaa 24Naulizwa
Muulizaji: money penny, unatakiwa ukae muda gani (siku/miezi mingapi) na mpenzi wako kwenye penzi jipya kabla hamjafanya mapenzi?
Nisije nikalala nae mapema nikakimbiwa. Nisije nikamkazia sana akakimbia, nifanyaje?
Haya mje mumsaidie mwenzenu.
Inategemea mlipokutana;Naulizwa
Muulizaji: money penny, unatakiwa ukae muda gani (siku/miezi mingapi) na mpenzi wako kwenye penzi jipya kabla hamjafanya mapenzi?
Nisije nikalala nae mapema nikakimbiwa. Nisije nikamkazia sana akakimbia, nifanyaje?
Haya mje mumsaidie mwenzenu.
KhaMasaa 24
Hii NI season ya ngan unaongeleaInategemea mlipokutana;
1. Kwenye bata isizidi, 3 Hours
2. Ukimpa lift 12 hours inatakiwa iwe imeenda
3. Kwenye mwendo kasi/ daladala, 1 day
4. Kanisani siku mbili, assumption u met on sunday J5 ready for consumption!
Ni Chemistry pekee yake Mathematics hakuna [emoji848]I don’t think the problem is giving love the problem is a chemistry if there is no chemistry even if you wait forever it won’t matter.that stuff is what makes love interesting and sweet.
AiseeNi Chemistry pekee yake Mathematics hakuna [emoji848]
Nimeuliza maana hizo story zenu nashindwa kuzielewaAisee
Naulizwa
Muulizaji: money penny, unatakiwa ukae muda gani (siku/miezi mingapi) na mpenzi wako kwenye penzi jipya kabla hamjafanya mapenzi?
Nisije nikalala nae mapema nikakimbiwa. Nisije nikamkazia sana akakimbia, nifanyaje?
Haya mje mumsaidie mwenzenu.
duNimeuliza maana hizo story zenu nashindwa kuzielewa
aminaVumilieni hadi NDOA .
Vip tena
SAWAUamuzi huo hauwezi kuwa sawa kwa kila mtu utaamua mwenyewe kadri unavyoona inafaa.